SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kwa post yako hii umedhihirisha kua wewe ndie mjinga zaidi yangu.
Asante mkuu, you have talked some senses.Tunajua viongozi wote wanashabikia timu moja ama nyingine. Waende kama mashabiki na hakutakuwa na tatizo lolote. Miaka yote akina Kapuya walikuwa wakienda kama mashabiki wa Simba japo walikuwa viongozi wa serikali. Wakati huu, Mwigulu anaenda kama shabiki wa Yanga na hakuna ugomvi.
Tatizo linaweza kuja kama watadiriki kuhusisha vyama vyao na timu fulani. Wakumbuke mashabiki wapo vyote! Wakienda kama UKAWA na si mashabiki binafsi, watakaa upande gani uwanjani?
Kweli wewe huo ubongo wako umepata stroke yakutosha,hujitambui tuu wewe ni maiti inayotembea kila kitu unakichukulia kwa mtizamo wa kisiasa punguza njaa.Mkuu, kwa kusoma argument zako, napata mashaka namna ubongo wako unavyofanya kazi. Kama una familia inayokutegemea. Basi imekula hasara.
Haha, ukawa wamepanic, wanatukana tu.
Mimi sina njaa na siendeshwi kwa tumbo na ujira mdogo kama wewe,nipo huru kwa akili,utu na kipato changu. Wewe unaetegemea kulamba watu miguu na kupangiwa nini cha kuongea humu ndio unatabu kubwa sana.Kanywe chai mkuu, you are stressed.
Wa kushiriki michezo bila kuingiliwa na siasa.
TFF wachukue hatuamechi ya ligi kuu Tanzania bara baina ya watani wa jadi na timu zenye mashabiki wengi kabisa hapa nchini Simba na Yanga inatarajiwa kupigwa mnamo tarehe 1 oktoba,2016.
Kumekua na fununu kua baadhi ya viongozi wa juu wa vyama vya upinzani wamealikwa na wamekubali kuwa wageni wa heshima katika mtanange huo.
binafsi kama mdau wa michezo nimestushwa kidogo na fununu hiyo, ambayo haijawa confirmed ila nimesikitishwa pia kwa kuona michezo ikigeuzwa uchochoro wa siasa.
Huzuni hiyo sio kwakua viongozi watakaoshiriki ni toka upinzani, hapana ila ni baada ya kukumbuka tangazo la wahusika hao kusitisha maandamano yao ya Ukuta yaliyokua yafanyike tarehe 1 September na kuya hamishia tarehe 1 oktoba.
Kwa kua maandamano yaliyositishwa yalishakatazwa, kuna kila dalili ya siku hiyo ya mechi ya watani wajadi kugeuzwa sehemu ya wahusika kutimiza malengo yao. Kwa kua kusanyiko la michezo ni shughuli halali kabisa ni sehemu nzuri sana ya kutimiza kusudio bila pingamizi
Kama ni kweli hili jambo litafanyika basi naomba TFF ijitoe katika jambo hili na kutiachia wapenzi wa soka tuendelee na burudani yetu.
Wenye matatizo ni hao wanaoingiza siasa kwenye michezo. Lazima wakumbushwe kua wanafanya makosa.Huu uzi hauna maana kabisa......tuwe watu wa maendeleo na siyo kupiga majungu.Siasa kila kitu wajameni itatubakisha nyuma.tufikirie nje ya siasa
Ata wakiinguza Siasa katiba hairuhusu siasa?