Angalia ratiba zinazofuata ndio utachoka.Yanga wametua mchana huu kutoka Tunisia kupitia Dubai na wanatarajia kwenda Mwanza leo saa moja usiku tayari kwa mchezo wa Jumapili dhidi ya Kagera Sugar...
Mkuu content haikuhusu na kulalamika kufungiwa kwa Aziz Ki bali ni Yanga kutopewa muda wa kujiandaa na mechi dhidi ya Kagera sugar. Hapo ilitolewa tu ufafanuzi kwanini Aziz Ki hajarudi pamoja na timuKwani Azizi Ki alifungiwa peke yake ofsa?
Imagine mtu kama chama pengo lake pale Simba na bado husikii makolo wakiilaumu TFF
Huyo wa katikati ndiyo Da Joy?
Dubai walienda kufanya nini? Hawakukodi ndege?Yanga wametua mchana huu kutoka Tunisia kupitia Dubai na wanatarajia kwenda Mwanza leo saa moja usiku tayari kwa mchezo wa Jumapili dhidi ya Kagera Sugar.
Wachezaji wote wamerudi isipokuwa Aziz Ki ambaye hadi kocha Nabi anamalizia msafara wao hakuonekana na kuibua shangwe za mashabiki wakihoji mchezaji huyo yupo wapi?
Aziz Ki amefungiwa mechi tatu na faini laki tano kwa kosa kutosalimiana na wachezaji wenzake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Simba uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
TFF tunaomba mmliangalie hili suala la wachezaji kutopumzika na wanarudi mnawaunganishia mechi zingine, wakati mwaka jana kuna timu ilikuwa na viporo hadi saba vilifika.
Lengo yawezekana ni kuidhoofisha Yanga na kushindwa kuendelea na 'unbeaten' zake.
Azizi ana ruhusa ameenda Kwao Burkina faso kusalimia familiaMkuu content haikuhusu na kulalamika kufungiwa kwa Aziz Ki bali ni Yanga kutopewa muda wa kujiandaa na mechi dhidi ya Kagera sugar. Hapo ilitolewa tu ufafanuzi kwanini Aziz Ki hajarudi pamoja na timu
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Wakodi ndege we umechanga sh ngapDubai walienda kufanya nini? Hawakukodi ndege?
Dubai wamekwenda kufanya connection Ili wafike Tunis. Tanzania hatuna ndege ya mojakwamoja mpaka Tunis.Dubai walienda kufanya nini? Hawakukodi ndege?
Simba wanavyokodi ndege GENTA huwa amechanga sh ngapi?Wakodi ndege we umechanga sh ngap
kwa mujibu wa kanuni za fifa kupumzika ni masaa 72. nachukia sana viporo maana ni kama upangaji wa matokeo hivi acha yanga wachezeYanga wametua mchana huu kutoka Tunisia kupitia Dubai na wanatarajia kwenda Mwanza leo saa moja usiku tayari kwa mchezo wa Jumapili dhidi ya Kagera Sugar.
Wachezaji wote wamerudi isipokuwa Aziz Ki ambaye hadi kocha Nabi anamalizia msafara wao hakuonekana na kuibua shangwe za mashabiki wakihoji mchezaji huyo yupo wapi?
Aziz Ki amefungiwa mechi tatu na faini laki tano kwa kosa kutosalimiana na wachezaji wenzake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Simba uliomalizika kwa sare ya bao 1-1.
TFF tunaomba mmliangalie hili suala la wachezaji kutopumzika na wanarudi mnawaunganishia mechi zingine, wakati mwaka jana kuna timu ilikuwa na viporo hadi saba vilifika.
Lengo yawezekana ni kuidhoofisha Yanga na kushindwa kuendelea na 'unbeaten' zake.