TFF wamewadhulumu Costal Union

TFF wamewadhulumu Costal Union

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Mfumo wa kuendesha mashindano ya FA Cup ya Tanzania yamekaa kidhulumishi sana.

Fainali ya mwaka huu ilifanywa kati ya Yanga na Coastal Union ya Tanga. Yanga wakashinda na kuwa mabingwa. Sasa Coastal Union wakaishia kushiriki Fainali ya FA bila ya kupata manufaa ya kushiriki kwenye mashindano ya kimataifa.

Yaani Geita Gold mining wao walishiriki mashindano ya FA na wakatolewa lakini leo wenyewe ni sehemu ya wawakilishi wetu kwenye mashindano ya kimataifa. Kutolewa kwao kwenye FA kuliwaathiri vipi na Coastal Union kushiriki kwao kwenye Fainali ya FA kumewafaidisha nini?

Jee Coastal Union wasingekwenda kushiriki kwenye fainali wasingefungiwa na TFF?
 
Mfumo wa kuendesha mashindano ya FA Cup ya Tanzania yamekaa kidhulumishi sana.

Fainali ya mwaka huu ilifanywa kati ya Yanga na Coastal Union ya Tanga. Yanga wakashinda na kuwa mabingwa. Sasa Coastal Union wakaishia kushiriki Fainali ya FA bila ya kupata manufaa ya kushiriki kwenye mashindano ya kimataifa.

Yaani Geita Gold mining wao walishiriki mashindano ya FA na wakatolewa lakini leo wenyewe ni sehemu ya wawakilishi wetu kwenye mashindano ya kimataifa. Kutolewa kwao kwenye FA kuliwaathiri vipi na Coastal Union kushiriki kwao kwenye Fainali ya FA kumewafaidisha nini?

Jee Coastal Union wasingekwenda kushiriki kwenye fainali wasingefungiwa na TFF?
Timu nne zinaenda, na Geita ni ya nne kwa msimamo. Kingine Coastal angeenda kama angeshinda kombe angechukua nafasi ya Geita. Sheria ilibadilishwa mshindi tu ndio anaenda kimataifa.


Uwe unafanya utafiti mkuu.
 
Timu nne zinaenda, na Geita ni ya nne kwa msimamo. Kingine Coastal angeenda kama angeshinda kombe angechukua nafasi ya Geita. Sheria ilibadilishwa mshindi tu ndio anaenda kimataifa.


Uwe unafanya utafiti mkuu.
umesoma nakuelewa nilichoandika? Niliposema "mfumo dhulumishi" wewe ulielewa nini?
 
hata hueleweki mkuu...

ila hua iko hivi...

kikawaida wanaokwenda klabu bingwa ni mshindi wa kwanza na wa pili kwenye ligi

wanaokwenda shirikisho ni mshindi wa tatu kwenye ligi na bingwa wa fa, endapo aliyechukua ligi ndiye bingwa wa fa hua wanachukua mshindi wa nne kwenye ligi badala ya huyo aliyetakiwa kutoka shirikisho.
 
umesoma nakuelewa nilichoandika? Niliposema "mfumo dhulumishi" wewe ulielewa nini?
Hakuna udhulumishi hata kiwango cha Coastal kuna challenge yoyote watatoa kimataifa? Mbona hata Geita Gold walipambana na yanga mpaka matuta.


Mbeleko beba kombe au fika top four.

Best loser aende kimataifa?
 
hata hueleweki mkuu...

ila hua iko hivi...

kikawaida wanaokwenda klabu bingwa ni mshindi wa kwanza na wa pili kwenye ligi

wanaokwenda shirikisho ni mshindi wa tatu kwenye ligi na bingwa wa fa, endapo aliyechukua ligi ndiye bingwa wa fa hua wanachukua mshindi wa nne kwenye ligi badala ya huyo aliyetakiwa kutoka shirikisho.
Jamaa anataka tff iweke mfumo wa kuwafavor best loser wa FA. Je, waliopambana top four watajisikiaje?

Yaani wamewekeza mechi 30 wasiende kisa best loser aliyepata wepesi njiani.
 
nyakubonga na buffalo44 hoja hapa siyo "Best Loser kupendelewa" bali kungalia kama mashindano yenyewe yanatenda haki kwa wanaoshiriki.

Kwa mfano Coastal union waliwatoa Azam, hivi Azam wangekuwa wa nne kwenye msimamo wa ligi si wangekwenda kwenye mashindano ya kimataifa badala ya Coastal Union?
 
Kwahiyo coast kwakuwa kacheza fainal basi ndiye alistahili kwenda kimataifa?.
Mbona hili la huu mfumo lipo miaka yote Wala hakuna mfumo dhulumishi hapa!!.
 
Hoj
nyakubonga na buffalo44 hoja hapa siyo "Best Loser kupendelewa" bali kungalia kama mashindano yenyewe yanatenda haki kwa wanaoshiriki.

Kwa mfano Coastal union waliwatoa Azam, hivi Azam wangekuwa wa nne kwenye msimamo wa ligi si wangekwenda kwenye mashindano ya kimataifa badala ya Coastal Union?
Hoja ya hovyo KABISA 😂
 
Kwahiyo coast kwakuwa kacheza fainal basi ndiye alistahili kwenda kimataifa?.
Mbona hili la huu mfumo lipo miaka yote Wala hakuna mfumo dhulumishi hapa!!.
Lipuli nayo ilifika fainali Lindi na ikaachwa. Hoja hapa mantiki ya kuchukuwa mshindi wa tatu na wanne ni nini?
 
  • Kicheko
Reactions: Exy
nyakubonga na buffalo44 hoja hapa siyo "Best Loser kupendelewa" bali kungalia kama mashindano yenyewe yanatenda haki kwa wanaoshiriki.

Kwa mfano Coastal union waliwatoa Azam, hivi Azam wangekuwa wa nne kwenye msimamo wa ligi si wangekwenda kwenye mashindano ya kimataifa badala ya Coastal Union?
Sijaelewa boss, sheria ishabadilishwa hata angekua simba au yanga au azam wapo nje ya top four alafu wawe best loser hawaendi kimataifa. Na TTF ikiforce club ya nne inaweza kuwafungulia mashtaka FIFA wakala panga.

Mbona kuna misimu yanga na azam tu walikua wanaenda kimataifa simba haendi, mpaka mbeya city kaenda.

Sheria ilibadilishwa now hakuna wa kutoboa. Alafu wewe mechi 30 unazunguka mikoa kutafuta top four utakubali kuona mwingine anapewa mbeleko kisa top best loser?

Ndio maana walibadili.
 
Kwamba unataka coastal aliyecheza mechi 6 hadi fainali aende kimataifa halafu geita gold aliyecheza mechi 30 kuipata nafasi ya 4 abaki? MAWAZO MADOGO SANA HAYO.
 
hoja ya msingi ni"mshindi wa pili wa shirikisho anaachwa alafu anakwenda mshindi wa nne wa ligi kuu!.hapo ndo utata onapoanzia.
 
Inawezekana huelewi kitu yan Tifua tifua wapeleke looser sasa nguvu ya fainali itakuaje yan timu icheze mechi nne alafu ikawakilishe taifa tena luza bora huu mfumo unafikir coast angejua hata akifungwa anaenda shirikisho angepambana vile
 
Jibu ni ndio, azam angekwenda.
Huyu jamaa vipi? Simba kasaidi kupata timu nne, na tatu za juu ya msimamo zinafuzu automatically, ya nne ndio inangalia kama bingwa wa FA yupo nje au ndani ya top Four, kama yupo nje anachukua nafasi yake kama yupo ndani, wa nne anatoboa kimataifa
 
Lipuli nayo ilifika fainali Lindi na ikaachwa. Hoja hapa mantiki ya kuchukuwa mshindi wa tatu na wanne ni nini?
Lipuli hakudhulumiwa, Kombe la Azam confederation linatoa timu moja tu kuwakilisha kwenye mashindano ya shirikisho barani Afrika!!
ikitokea kuna nafasi zaidi ya moja ya kupeleka timu kombe la shirikisho na klabu bingwa, basi wawakilishi wengine wote watatokana na ligi kuu.
Pamoja na mambo mengine, lengo la kanuni hii ni kulinda hadhi na ukuu wa ligi kuu.
 
Lipuli nayo ilifika fainali Lindi na ikaachwa. Hoja hapa mantiki ya kuchukuwa mshindi wa tatu na wanne ni nini?
Ilikua mwaka gani? Je, kulikua na kuingiza timu nne CAF? Je, Sheria ya bingwa tu wa FA ndio anaenda ilikua active au bado?
 
Back
Top Bottom