Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,204
- 15,207
Hoja yako ni mfu na inakosa mashiko.
Kuingia fainali hakukunufaishi kivyovyote vile kikanuni. Chukua kombe ufaidike.
Na hili swala si Tanzania pekee. Bali ulimwenguni pote.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa Michuano Ulaya, Bingwa wa Europa atapata nafasi ya kushiriki moja kwa moja michuano ya UEFA hata kama katika nchi yake amekosa nafasi.
Lakini ukiingia fainali ukakosa kitu, watachukuliwa wale wanne wa mbele katika msimamo wa ligi.
Coastal Union hajadhulumiwa. Hakuna kanuni zilizotenguliwa ili kumpitisha Geita.
Kuingia fainali hakukunufaishi kivyovyote vile kikanuni. Chukua kombe ufaidike.
Na hili swala si Tanzania pekee. Bali ulimwenguni pote.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa Michuano Ulaya, Bingwa wa Europa atapata nafasi ya kushiriki moja kwa moja michuano ya UEFA hata kama katika nchi yake amekosa nafasi.
Lakini ukiingia fainali ukakosa kitu, watachukuliwa wale wanne wa mbele katika msimamo wa ligi.
Coastal Union hajadhulumiwa. Hakuna kanuni zilizotenguliwa ili kumpitisha Geita.