TFF wamjibu dogo aliyelalamika kulipwa 20,000

kocha Nabi

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2022
Posts
709
Reaction score
1,881


Nimeamka tu nimekutana na hii kutoka mwananchi. Huyu ni dogo national team chini ya miaka 15, mashindano yamefanyika Uganda yameisha hivi karibuni. TFF wanadai wapo katika mchakato wa hundi. Vipi kuhusu mwaka jana kulipwa 50,000.

Hii imenikumbusha ndugu yangu alichaguliwa national team beach soccer. Kambi TFF Karume aliishia kula tu na kupanda basi la TFF. Yaliyobaki tumwachie Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…