kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
Wanajiona kama wanaongoza FIFA.Ukiwaona tu namna walivyofutuka matumbo, hata huwezi kushangaa.
Rais Karia amesema kwamba,......... anyway ngoja niacheUkiwaona tu namna walivyofutuka matumbo, hata huwezi kushangaa.
Never aisee. Alafu tunatafuta mchawi wakati wachawi tunao sisi wenyeweHarafu tutarajie mpira wa miguu na michezl mingine kukua nchini
mkuu ukiachana na matumbo ukitaka kujua hapo kuna hela ni kipindi cha uchaguzi wao. wanapigana Pin balaa.Ukiwaona tu namna walivyofutuka matumbo, hata huwezi kushangaa.
Sijui wanatafuta uongo gani sasahiv!Hayo majibu ya TFF kwa dogo yapo wapi sasa?
Hayo majibu ya TFF kwa dogo yapo wapi sasa?
Waliwaambia hao watoto what is next baada ya kurudi.😶