Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hundi ya mwaka jana iko wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hundi ya mwaka jana iko wapi
Hata Kama zawadi imetoka kwa hundi.
Kwahiyo hiyo miundombinu ilikua inawasubiri hao washinde??TFF wamesema watajenga miundombinu, hawatagawa hizo pesa
Bado za kuzipiga timu faini. Timu kupita mlango mwingine kuingia uwanjani unapigwa fain milioni 5 na makorokolo yake. Nao huo ni mlango wa kuingia uwanjani.Ukiwaona tu namna walivyofutuka matumbo, hata huwezi kushangaa.
Kuna rais wa TFF aliperform tofauti na huyu?Natambua mkuu, ndiyo maana nimeshindwa kuelewa.
Kwanini usipte mlango rasmi?Bado za kuzipiga timu faini. Timu kupita mlango mwingine kuingia uwanjani unapigwa fain milioni 5 na makorokolo yake. Nao huo ni mlango wa kuingia uwanjani.
Inajulikana hata ukiacha. Amesema check iko kufanyiwa mchakato. Mwambie sawa inafanyiwa mchakato baada ya dogo kusanua, vinginevyo ilipita hiyo. Muulize sasa na ya mwaka jana je,bado tu mchakato unaendelea?Rais Karia amesema kwamba,......... anyway ngoja niache
Hawa watoto na wenyewe mbona wana haraka sana na maisha? Miaka 15 unatakwa ulipwe pesa ili uifanyie nini?
Wanapaswa wajitume ili siku wakienda kucheza ulaya hyo hela wanaoidai sa iv itakuwa km sh 100 tu!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Any way, tujadili kidogo.....TFF wakijitutumua angalau wawe wanawapa Tsh ngap madogo?