Mkuu yanga walikomaa nembo ya mdhamini ivaliwe na rangi nyingine sio nyekundu wakati kanuni uvae rangi harisi za mdhamini tff wakapindisha kuwafavor,tofauti na simba wameenda wakitaka vifungu kabsa mdhamini mwenza inakuaje wamehoji maslahi yao watanufaika VIP,na maswala ya conflict of interest tff wanajikuta wamepuyangaKwa point yako kama naanza kukubali unachosema.
Kuhusu nembo ya NBC nadhani tff wali experience kwenye nembo ya gsm kuwa njano na kijani badala ya nyekundu na nyeupe.mwenye nembo akikubali rangi ibadilishwe akuna shida kikubwa ni nembo imevaliwa.Mkuu yanga walikomaa nembo ya mdhamini ivaliwe na rangi nyingine sio nyekundu wakati kanuni uvae rangi harisi za mdhamini tff wakapindisha kuwafavor,tofauti na simba wameenda wakitaka vifungu kabsa mdhamini mwenza inakuaje wamehoji maslahi yao watanufaika VIP,na maswala ya conflict of interest tff wanajikuta wamepuyanga
Ww ni KE au MEKwendraaaaaa [emoji23][emoji23]
Jua Simba wana hoja zenye mashiko.Kwasababu tajwa hapo juu na Simba nao wanadeka.
Jambo kama hili la mgogoro wa tff na Simba likitokea kwa Yanga uwa kuna press mfululizo za body ya ligi au tff kutoa vitisho na mikwara kwa Yanga.
Lakini kwa Simba tff na body ya ligi huwa wanaonyesha unyonge flani hivi tofauti na inavyotarajiwa.
Nawasilisha.
Kuweni huru...achaneni na hawa wakoloni SIMBA NA YANGAAisee mpila wa bongo unaheka heka nyingi.