TFF wanaipendelea Simba SC, ukweli huu hapa

Huwezi kuwa mdau wa Michezo ukawa si simba au yanga! Acha giliba za kama mtu ajiita OKW BOBAN SUNZU
 
Kwa hiyo TFF imeharisha mechi ya simba na coast kwasababu kuna kaizer chief wapo hapa ahahaha Mbimbumbu bwana sasa hapo si ndiyo inadhihirisha wazi kuwa mnabwbwa na TFF
 
Kwa hiyo TFF imeharisha mechi ya simba na coast kwasababu kuna kaizer chief wapo hapa ahahaha Mbimbumbu bwana sasa hapo si ndiyo inadhihirisha wazi kuwa mnabwbwa na TFF
Tff ina maslahi gani na kaizer chief ,so ulitaka tff wawa favor amakhosi,
Ndo ujue utopolo daima mnatoa mbele nyuma Kuna mwiko.
 
Ubongo wako umejaa vyura sasa hapo simba kapendelewa vipi wakati viporo vinazid
 
Tena na wakienda Nusu ,TFF wanapata mgao wanao pata SIMBA
 
Huna akili sawasawa na usiwalaumu TFF, na isitoshe wewe siyo Mwana michezo umewezaje kujua taratibu za huo mchezo?, Kaizer chief ya wapi iliyo cheza trh 12?,usitufanye na sisi hatujui mpira kama wewe, sisi tunaujua, so simba haikuhusu kaa kimya iacje simba yetu.
 
Mnatafuta yooote.
Kisa muwategue miguu wachezaji wa SIMBA SC ili washindwe kucheza ligi inayowabeba ninyi. Wee bila kupepesa macho ni utopolo tu.
SIMBA inaiwakilisha Nchi,lazima ilindwe kwa nguvu zote. Iwe TFF au SERIKALI.
Meza kiwembe uridhike
 
Halafu bila aibu walipofika south siku ya pili yake wakawa uwanjani kuwaangalia kaizer chief wakicheza match ya ligi
 
Kichwa boga akili kisoda.

Sikulaumu maana hiyo sidhani hata hicho kisoda kinajaa.
 
Ooooh kumbe kuahirishwa mechi na yanga ni mipango ya nchi sasa mbona hamjawaambia mbumbumbu wenzenu wakiongozwa na yule msemaji mbwatukaji wanakaa wanabwatuka kama mbwa koko waliokosa matunzo
 
Ooooh kumbe kuahirishwa mechi na yanga ni mipango ya nchi sasa mbona hamjawaambia mbumbumbu wenzenu wakiongozwa na yule msemaji mbwatukaji wanakaa wanabwatuka kama mbwa koko waliokosa matunzo
Wewe utopolo huwez kuelewa kitu,,
Ngoja tumalizane na wajukuu wa Mandela.
Tena na wakienda Nusu ,TFF wanapata mgao wanao pata SIMBA
Nikusahihishe mkuu kwenye kila mgao kuanzia kuingia makundi,robo mpaka fainali tff wanachao Tena pesa nzuri tu Sana.
Sasa why wasihamasike kuisurport Simba kwa njia zote wanazoweza ili ifanye vizuri ..
Utopolo hamna kitu kichwan.
 
TFF ina makubaliano na vilabu vinavyowakilisha taifa kwenye mashindano ya CAF kwamba hawatacheza mchezo wowote wa ligi au FA siku 6 kabla ya mechi ya kimataifa.

Sitegemei mtopolo kulitambua hili
 

KANUNI YA 9
KUAHIRISHA MCHEZO

Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo:-
(a) Endapo timu ina wachezaji watano au zaidi katika timu ya Taifa;

(b) Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku sita kufikia mchezo wa Kimataifa;

(c) Sababu yoyote ya dharura nzito na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.

(d) Mchezo wowote ulioahirishwa utapangwa tena katika tarehe itakayoamuliwa na TFF isipokuwa kama ni dharura ya mvua au dharura yoyote nyingine basi mchezo huo utachezwa siku inayofuata iwapo ratiba inaruhusu
 
Sina Usimba au Uyanga nyenyenye... We ni utops acha unafiq.
 
... Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?
Nilichoelewa kutoka kwako ni kwamba TFF inaipendelea Simba dhidi ya Kaizer Chiefs, na inaihujumu Kaizer Chiefs. TFF inaahirisha mchezo wa Simba lakini TFF hiyo hiyo inailazimisha Kaizer Chiefs icheze mechi. TFF ilitakiwa ihakikishe ratiba za Simba na Kaizer Chiefs zinafanana. Kama Kaizer Chiefs amecheza tarehe 12 Mei na Moroka Swallows, kwa nini Simba asicheze na Coastal Union? TFF inataka Simba ichukue ubingwa wa ligi, wakati huo huo inaikandamiza Kaizer Chiefs isichukue ubingwa wa ligi
 
TFF ya Makia sijawahi kuikubali hata siku 1 labda ile TFF ya Malinzi.. Huyu karia na genge lake pale ni Wasenge square sijui wanakazwa na MO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…