TFF wanaipendelea Simba SC, ukweli huu hapa

TFF wanaipendelea Simba SC, ukweli huu hapa

Lakini kumbuka pia kuna vipimo vya korona na mchezaji akikutwa anatkiwa kukaa karantini kwa siku tatu then apimwe upya Sasa hebu fikiria Simba akiondoka tarehe 12 then akutwe na tatizo atfanyaje na siku tatu zinakuwa zishafika. Unapotoa hoja jitahidi kuelezea kwa mapana mkuu siyo kuwaza ndani ya box fikiria hata nje ya box

Unadhani kumuelimisha Uto mpaka akakuelewa ni jambo rahisi?
 
Kabla ya yote niseme tu mimi binafsi sina ushabiki wa usimba wala uyanga nimeamua kuandika ki michezo tu nikiwa mdau wa mchezo. Kwahiyo mm sio shabiki wa Yanga wala Simba.

Kitendo cha klabu ya Simba kuondoka nchini siku ya Jumatatu Mei 11, 2021 ni dhahiri kuwa hawa jamaa wanabebwa ama kupendelewa sana na TFF.

Klabu ya Simba iliondoka Mei 11, 2021 nchini kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Siku hiyo hiyo ilikuwa icheze mchezo wa ligi kuu Tanzania dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Swali linakuja kwann Simba ilishindwa kucheza na Coastal Union kisha ndio ikaelekea Afrika Kusini?

Ikumbukwe kuwa Mchezo kati ya Kaizer Chiefs dhidi ya Simba SC utachezwa Mei 15, 2021. Kutoka Mei 11 mpka Mei 15 kuna siku 5 hapo, Simba ilishindwa nn kucheza mchezo na Coastal Union?

TFF wanaipendelea sana simba maana wao ndio waliruhusu huu mchezo wa ligi kuu Tanzania bara usichezwe kwa kisingizio kuwa simba inaifuata Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali. Hiyo ni hoja ya kipumbavu sana na isiyo na mashiko kabisa. Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?

Simba alishindwa nn kucheza hiyo Mei 11 kisha Mei 12 akaelekea Afrika Kusini?

TFF mnatukosea sana sisi wadau wa michezo.
Uwe walau UNASIKILIZA/KUSOMA taarifa zitolewazo. Kulikuwa na shida ya USAFIRI dada mvaa vjora na madela weeee

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya yote niseme tu mimi binafsi sina ushabiki wa usimba wala uyanga nimeamua kuandika ki michezo tu nikiwa mdau wa mchezo. Kwahiyo mm sio shabiki wa Yanga wala Simba.

Kitendo cha klabu ya Simba kuondoka nchini siku ya Jumatatu Mei 11, 2021 ni dhahiri kuwa hawa jamaa wanabebwa ama kupendelewa sana na TFF.

Klabu ya Simba iliondoka Mei 11, 2021 nchini kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Siku hiyo hiyo ilikuwa icheze mchezo wa ligi kuu Tanzania dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Swali linakuja kwann Simba ilishindwa kucheza na Coastal Union kisha ndio ikaelekea Afrika Kusini?

Ikumbukwe kuwa Mchezo kati ya Kaizer Chiefs dhidi ya Simba SC utachezwa Mei 15, 2021. Kutoka Mei 11 mpka Mei 15 kuna siku 5 hapo, Simba ilishindwa nn kucheza mchezo na Coastal Union?

TFF wanaipendelea sana simba maana wao ndio waliruhusu huu mchezo wa ligi kuu Tanzania bara usichezwe kwa kisingizio kuwa simba inaifuata Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali. Hiyo ni hoja ya kipumbavu sana na isiyo na mashiko kabisa. Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?

Simba alishindwa nn kucheza hiyo Mei 11 kisha Mei 12 akaelekea Afrika Kusini?

TFF mnatukosea sana sisi wadau wa michezo.
Umeonesha unashabikia timu gani ulipofungua na sentensi ya kujitetea.
Yanga washinde tu mechi zao zote.... Simba hata akiwa na viporo 20 havitakuwa na madhara. Kama Simba wangecheza na kushinda hakika nakuambia Yanga mngekuwa na presha kubwa hadi mngepoteza mchezo wa leo... Japo mtapoteza kweli.
Isitoshe Yanga akishinda mechi zake si atatangazwa bingwa kabla Simba hajamaliza viporo? Au ndio ile hofu kuwa KIPORO CHA TAJIRI HAKICHACHI?
 
Kabla ya yote niseme tu mimi binafsi sina ushabiki wa usimba wala uyanga nimeamua kuandika ki michezo tu nikiwa mdau wa mchezo. Kwahiyo mm sio shabiki wa Yanga wala Simba.

Kitendo cha klabu ya Simba kuondoka nchini siku ya Jumatatu Mei 11, 2021 ni dhahiri kuwa hawa jamaa wanabebwa ama kupendelewa sana na TFF.

Klabu ya Simba iliondoka Mei 11, 2021 nchini kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Siku hiyo hiyo ilikuwa icheze mchezo wa ligi kuu Tanzania dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Swali linakuja kwann Simba ilishindwa kucheza na Coastal Union kisha ndio ikaelekea Afrika Kusini?

Ikumbukwe kuwa Mchezo kati ya Kaizer Chiefs dhidi ya Simba SC utachezwa Mei 15, 2021. Kutoka Mei 11 mpka Mei 15 kuna siku 5 hapo, Simba ilishindwa nn kucheza mchezo na Coastal Union?

TFF wanaipendelea sana simba maana wao ndio waliruhusu huu mchezo wa ligi kuu Tanzania bara usichezwe kwa kisingizio kuwa simba inaifuata Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali. Hiyo ni hoja ya kipumbavu sana na isiyo na mashiko kabisa. Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?

Simba alishindwa nn kucheza hiyo Mei 11 kisha Mei 12 akaelekea Afrika Kusini?

TFF mnatukosea sana sisi wadau wa michezo.
Acha kufanganya watu, haiwezekani mtzanzania mfuatiliaji wa soka eti sio simba wala yanga.
Haya wewe utopolo, tuambie tff wanaipendeleaje simba huko champions ligi kina al ahly wanachezea pia?
 
Acheni upumbavu wa akili nyie utopolo tengenezeni timu lenu bovu shindeni mechi zenu,,..
Mlivyokua kileleni mlikua kimya sasaivi kila siku mnakuja na mpya.

Nikuambie tu hiki kilichofanyika ni mipango mikubwa ya kinchi kuhakikisha Simba anatinga nusu hata fainali..
Kaizer chief toka Juma lilopita wapo hapa nchi kutaka kuangalia hizi mechi mbili za mwisho za Simba wajue current form,streghth na weekness za Simba,nikueleze t haya yalofanyika wamepigiwa chenga ya mwili na yamewachanganya vibaya hawajui hata wataingia na plan gani zidi ya Simba..
Simba ikifanikiwa kufika nusu ni faida kwa mpira mzima wa nchi alaf we unataka tucheze na coast.
Alafu hapo uto haoni kuwa simba ikiprwa muda wa kutosha kujiandaa inaenda wabeba na wao kwa kufanya vizuri..uto ni uto tu..
 
Alafu hapo uto haoni kuwa simba ikiprwa muda wa kutosha kujiandaa inaenda wabeba na wao kwa kufanya vizuri..uto ni uto tu..
Mkuu utopolo hawajawai kua na akili timamu..
Nahisi mwiko ulowakaa uko nyuma umeondoka na akili zao zote
 
Mkuu utopolo hawajawai kua na akili timamu..
Nahisi mwiko ulowakaa uko nyuma umeondoka na akili zao zote

Yani wamechomolewa akili wakachomekwa Mwiko.

Sikuhizi Uto wana kauli zao mbili:-

1) Wakiamua kuiponda Simba utasikia "MIMI SISHABIKII SIMBA WALA YANGA".

2) Wakiamu kuikosoa Simba na kuisifu Yanga utawasikia wanaanza na "MIMI SIMBA DAMU LAKINI........"

Yani hizo ndiyo kauli zao za sikuhizi ambazo zilitawala wiki iliyopita baada ya Yanga kukimbia Uwanjani.
 
Yani wamechomilewa akili wakachomekwa Mwiko.

Sikuhizi Uto wana kauli zao mbili:-

1) Wakiamua kuiponda Simba utasikia "MIMI SISHABIKII SIMBA WALA YANGA".

2) Wakiamu kuikosoa Simba na kuisifu Yanga utawasikia wanaanza na "MIMI SIMBA DAMU LAKINI........"

Yani hizo ndiyo kauli zao za sikuhizi ambazo zilitawala wiki iliyopita baada ya Yanga kukimbia Uwanjani.
Na hao ndo deportivo la utopolo mkuu.
 
KANUNI YA 9
KUAHIRISHA MCHEZO

Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo:-
(a) Endapo timu ina wachezaji watano au zaidi katika timu ya Taifa;

(b) Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku sita kufikia mchezo wa Kimataifa;

(c) Sababu yoyote ya dharura nzito na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF.

(d) Mchezo wowote ulioahirishwa utapangwa tena katika tarehe itakayoamuliwa na TFF isipokuwa kama ni dharura ya mvua au dharura yoyote nyingine basi mchezo huo utachezwa siku inayofuata iwapo ratiba inaruhusu
hiyo kanuni 9c ndiyo ilotumika siku ile yanga alipotoroka taifa
 
Washabiki wa Yanga nawaambia tena ujinga wenu ndio utaifanya simba ichukue tena kombe msimu wa 2021/2022. Nilicheka sana mlipobadilisha gia angani eti simba itachukua kombe ila haitaifunga yanga mechi ya iliyopita. Yaan wimbo ulikua sio ubingwa tena baada ya msemaji wao wa wape salamu alivyojitapa kwenye kipind fulani cha habari. Wanayanga kabaneni na viongozi wenu acheni porojo mnazopewa
 
Kabla ya yote niseme tu mimi binafsi sina ushabiki wa usimba wala uyanga nimeamua kuandika ki michezo tu nikiwa mdau wa mchezo. Kwahiyo mm sio shabiki wa Yanga wala Simba.

Kitendo cha klabu ya Simba kuondoka nchini siku ya Jumatatu Mei 11, 2021 ni dhahiri kuwa hawa jamaa wanabebwa ama kupendelewa sana na TFF.

Klabu ya Simba iliondoka Mei 11, 2021 nchini kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Siku hiyo hiyo ilikuwa icheze mchezo wa ligi kuu Tanzania dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Swali linakuja kwann Simba ilishindwa kucheza na Coastal Union kisha ndio ikaelekea Afrika Kusini?

Ikumbukwe kuwa Mchezo kati ya Kaizer Chiefs dhidi ya Simba SC utachezwa Mei 15, 2021. Kutoka Mei 11 mpka Mei 15 kuna siku 5 hapo, Simba ilishindwa nn kucheza mchezo na Coastal Union?

TFF wanaipendelea sana simba maana wao ndio waliruhusu huu mchezo wa ligi kuu Tanzania bara usichezwe kwa kisingizio kuwa simba inaifuata Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali. Hiyo ni hoja ya kipumbavu sana na isiyo na mashiko kabisa. Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?

Simba alishindwa nn kucheza hiyo Mei 11 kisha Mei 12 akaelekea Afrika Kusini?

TFF mnatukosea sana sisi wadau wa michezo.
Mkuu, kwa wanayovyotuwakilisha Simba kwenye CAF champions league waache tu wapendelewe maana wanatuletea faida nyingi. Mojawapo ni kuongeza idadi ya Timu za Tanzania kwenye mashindno ya CAF mwaka ujao; pili wanaitangaza Tanzania ulimwengungu kupitia 'VISIT TANZANIA'. Kwa hali hiyo hata ungewapeleka Dr. Msola, Mwakalebela, Eng. Hersi kuongoza TFF lazima wangeipendelea tu SImba.

Vv
 
Kwahiyo kile kipigo mmepokea jana ndio kilifanya mkavunja mechi na Yanga kicha mkawahi kuondoka.
 
Acheni upumbavu wa akili nyie utopolo tengenezeni timu lenu bovu shindeni mechi zenu,,..
Mlivyokua kileleni mlikua kimya sasaivi kila siku mnakuja na mpya.

Nikuambie tu hiki kilichofanyika ni mipango mikubwa ya kinchi kuhakikisha Simba anatinga nusu hata fainali..
Kaizer chief toka Juma lilopita wapo hapa nchi kutaka kuangalia hizi mechi mbili za mwisho za Simba wajue current form,streghth na weekness za Simba,nikueleze t haya yalofanyika wamepigiwa chenga ya mwili na yamewachanganya vibaya hawajui hata wataingia na plan gani zidi ya Simba..
Simba ikifanikiwa kufika nusu ni faida kwa mpira mzima wa nchi alaf we unataka tucheze na coast.
Naona kuhairisha mechi zenu mbili za ligi kumewasidia Sana huko kwa madibaa, hamjapotea njia.
 
Kabla ya yote niseme tu mimi binafsi sina ushabiki wa usimba wala uyanga nimeamua kuandika ki michezo tu nikiwa mdau wa mchezo. Kwahiyo mm sio shabiki wa Yanga wala Simba.

Kitendo cha klabu ya Simba kuondoka nchini siku ya Jumatatu Mei 11, 2021 ni dhahiri kuwa hawa jamaa wanabebwa ama kupendelewa sana na TFF.

Klabu ya Simba iliondoka Mei 11, 2021 nchini kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Siku hiyo hiyo ilikuwa icheze mchezo wa ligi kuu Tanzania dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Swali linakuja kwann Simba ilishindwa kucheza na Coastal Union kisha ndio ikaelekea Afrika Kusini?

Ikumbukwe kuwa Mchezo kati ya Kaizer Chiefs dhidi ya Simba SC utachezwa Mei 15, 2021. Kutoka Mei 11 mpka Mei 15 kuna siku 5 hapo, Simba ilishindwa nn kucheza mchezo na Coastal Union?

TFF wanaipendelea sana simba maana wao ndio waliruhusu huu mchezo wa ligi kuu Tanzania bara usichezwe kwa kisingizio kuwa simba inaifuata Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali. Hiyo ni hoja ya kipumbavu sana na isiyo na mashiko kabisa. Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?

Simba alishindwa nn kucheza hiyo Mei 11 kisha Mei 12 akaelekea Afrika Kusini?

TFF mnatukosea sana sisi wadau wa michezo.
Simba ni bingwa na wanaiwakilisha nchi hivyo lazima wapate upendeleo.
 
Utopolo ni Utopolo tu hawezi jificha.
Embu fafanua zaidi ueleweke Simba wamependelewaje,Simba kusafiri bila kucheza na Coastal Union ndo Simba wameshapata points tatu au?
Hivi huko Utopolo kuna mwenye akili timamu hata mmoja nayaona yote mazezeta tupu
 
Ngoja mbumbumbu waje wakiongozwa na yule mbwatukaji wao, wakukabidhi kadi ya uanachama wa Yanga kwa lazima.
Furahieni tu Simba kufungwa huku Azam anawapumulia kichogoni hata nafasi ya pili hampati na Kombe la shirikisho hamchukui.
 
Kabla ya yote niseme tu mimi binafsi sina ushabiki wa usimba wala uyanga nimeamua kuandika ki michezo tu nikiwa mdau wa mchezo. Kwahiyo mm sio shabiki wa Yanga wala Simba.

Kitendo cha klabu ya Simba kuondoka nchini siku ya Jumatatu Mei 11, 2021 ni dhahiri kuwa hawa jamaa wanabebwa ama kupendelewa sana na TFF.

Klabu ya Simba iliondoka Mei 11, 2021 nchini kuelekea Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wa robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika. Siku hiyo hiyo ilikuwa icheze mchezo wa ligi kuu Tanzania dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Swali linakuja kwann Simba ilishindwa kucheza na Coastal Union kisha ndio ikaelekea Afrika Kusini?

Ikumbukwe kuwa Mchezo kati ya Kaizer Chiefs dhidi ya Simba SC utachezwa Mei 15, 2021. Kutoka Mei 11 mpka Mei 15 kuna siku 5 hapo, Simba ilishindwa nn kucheza mchezo na Coastal Union?

TFF wanaipendelea sana simba maana wao ndio waliruhusu huu mchezo wa ligi kuu Tanzania bara usichezwe kwa kisingizio kuwa simba inaifuata Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali. Hiyo ni hoja ya kipumbavu sana na isiyo na mashiko kabisa. Why Kaizer Chiefs Mei 12 alicheza mchezo wa ligi kuu Afrika Kusini, Simba alishindwa nn?

Simba alishindwa nn kucheza hiyo Mei 11 kisha Mei 12 akaelekea Afrika Kusini?

TFF mnatukosea sana sisi wadau wa michezo.
Upumbavu wa TFF na viongoz wa simba ndiyo umeifelisha timu kufuzu nusu fainal, makocha wanaojielewa kama kina Gadiola wanataka mechi nyingi ili timu iwe na momentum, sisi tunapumnzisha timu wiki na zaid kuisubiri mechi muhim!

Mpira wetu unamevamiwa na viongozi washamba wa mpira.
Screenshot_2021-05-18-06-38-05.jpg
 
Back
Top Bottom