Siku hizi Tatu na Rukyaa wanachezesha vizuri sana kuliko hata baadhi ya wanaume. Ni swala la uzoefu tu; nadhani Amina hajapata uzefu wa kutosha kuchezesha mashindano makubwa lakini Tatu na Rukyaa wanayaweza sanaNapinga wanawake kuchezesha mpira wa wanaume makosa huwa mengi mno na ya wazi sana hali inayoleta Mashaka hata hivyo wengi kama wa Leo hawana ndoto za kwenda mbali hivyo ni rahisi kufata maelekezo ya kariah
Ile penati Rukya anawapa uto wakati rafu ilichezwa nje ya box ile mechi nayo ilikua utawala wa mama?Wala hauhitaji kuwa na elimu ya uchunguzi kujua kwanini TFF ya Karia inalazimisha kutumia waamuzi wa kike wasio na uwezo kuchezedha mechi kubwa na ngumu.
Jibu ni moja tu, TFF wameamua rasimi kuwa chawa wa mama. Full kujikomba ili kumuonyesha kwamba wanatekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya kuwainua wanawake.
Hata huu mfumo mpya wa kucheza Ngao ya Jamii ni mbinu ya kukusanya pesa nyingi za kum-please mama.
Hatupingi wanawake kuchezesha mpira lakini kuna mechi ngumu wanawake hawawezi.
Hata huko duniani ambako haki sawa zilianzia hawawapi kuchezesha mechi ngumu.
TFF mnaenda kutuharibia mpira wetu kwa kukubali kutumika kisiasa.
Tatizo nini?Wala hauhitaji kuwa na elimu ya uchunguzi kujua kwanini TFF ya Karia inalazimisha kutumia waamuzi wa kike wasio na uwezo kuchezedha mechi kubwa na ngumu.
Jibu ni moja tu, TFF wameamua rasimi kuwa chawa wa mama. Full kujikomba ili kumuonyesha kwamba wanatekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya kuwainua wanawake.
Hata huu mfumo mpya wa kucheza Ngao ya Jamii ni mbinu ya kukusanya pesa nyingi za kum-please mama.
Hatupingi wanawake kuchezesha mpira lakini kuna mechi ngumu wanawake hawawezi.
Hata huko duniani ambako haki sawa zilianzia hawawapi kuchezesha mechi ngumu.
TFF mnaenda kutuharibia mpira wetu kwa kukubali kutumika kisiasa.
Tatizo amelisema hapo.Tatizo nini?
Sijaliona.Tatizo amelisema hapo.
Bora hata huyo Tatu ana unafuu. Ila siyo huyo Amina na huyu Jonisia Rukya. Tena kama huyu Jonisia tangu atoke kwenye likizo yake ndefu ya kujifungua, amekuwa ni wa hovyo mpaka basi.Siku hizi Tatu na Rukyaa wanachezesha vizuri sana kuliko hata baadhi ya wanaume. Ni swala la uzoefu tu; nadhani Amina hajapata uzefu wa kutosha kuchezesha mashindano makubwa lakini Tatu na Rukyaa wanayaweza sana
Nilifatilia ligi kuu England misimu 14 Kama wapo waamuz wa kike Basi Ni washika kibendera ila huko kwetu kila kitu tunakiiga tu na kuwapa watu wasio na uwezo na ujuzi kuongoza na kufanya maamuziWala hauhitaji kuwa na elimu ya uchunguzi kujua kwanini TFF ya Karia inalazimisha kutumia waamuzi wa kike wasio na uwezo kuchezedha mechi kubwa na ngumu.
Jibu ni moja tu, TFF wameamua rasimi kuwa chawa wa mama. Full kujikomba ili kumuonyesha kwamba wanatekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya kuwainua wanawake.
Hata huu mfumo mpya wa kucheza Ngao ya Jamii ni mbinu ya kukusanya pesa nyingi za kum-please mama.
Hatupingi wanawake kuchezesha mpira lakini kuna mechi ngumu wanawake hawawezi.
Hata huko duniani ambako haki sawa zilianzia hawawapi kuchezesha mechi ngumu.
TFF mnaenda kutuharibia mpira wetu kwa kukubali kutumika kisiasa.
Hakuna Mwamuzi wa kike anayeweza kuchezesha Derby ya Kariakoo, hayupo tusidanganyane. Karia na genge lako mmejishauri vibaya.Wala hauhitaji kuwa na elimu ya uchunguzi kujua kwanini TFF ya Karia inalazimisha kutumia waamuzi wa kike wasio na uwezo kuchezedha mechi kubwa na ngumu.
Jibu ni moja tu, TFF wameamua rasimi kuwa chawa wa mama. Full kujikomba ili kumuonyesha kwamba wanatekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya kuwainua wanawake.
Hata huu mfumo mpya wa kucheza Ngao ya Jamii ni mbinu ya kukusanya pesa nyingi za kum-please mama.
Hatupingi wanawake kuchezesha mpira lakini kuna mechi ngumu wanawake hawawezi.
Hata huko duniani ambako haki sawa zilianzia hawawapi kuchezesha mechi ngumu.
TFF mnaenda kutuharibia mpira wetu kwa kukubali kutumika kisiasa.
Hatupingi wanawake kuchezesha mpira lakini kuna mechi ngumu wanawake hawawezi.
Nenda wew kwenye huo mfumo jike nyie ndio mnavuliwa ubingwa kisa kuwalidhisha wanawake.... Huko duniani uliona lini Manchester darby akapewa demuMfumo dume umedumaza akili zako.
Kama zipi hizo ?Hatupingi wanawake kuchezesha mpira lakini kuna mechi ngumu wanawake hawawezi.