TFF wanatakiwa kumpa Job tuzo yake mapema

TFF wanatakiwa kumpa Job tuzo yake mapema

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute kinsmen
Kwa sasa Africa mashariki na kati na pengine Africa nzima inaeleweka wazi hakuna beki wa kati kumzidi kitasa Dickson Job!

Huyu kijana ana uwezo mkubwa sana
Composure ya hali ya juu
Passing ability ya kuwazidi hata viungo wote pale simba


Marking ya hali ya juu sana,
Kama unafuatilia Job huwa hakabi mtu, yeye anaclear mpira chap
Akili yake kubwa ya kunusa hatari ni zaidi ya mbwa wa polisi

Kimo kifupi ila juu unamkuta anaruka
Wapo waliodai ni mfupi ila leo wanalia kimya kimya

Kuna beki zipo pale simba ni uchochoro mkubwa sana hasa yule aliyejiita ukuta wa yeriko na sasa amekuwa ukuta wa mabua .

Sasa TFF wanasubiri nini kumpa tuzo kijana kabla hata msimu kuisha? Maana hakuna zaidi yake hapa bongo.

Kuhusu kutoa assist kwa Job ni kawaida sana kwake achana na game na Al hilal hata kuna mechi na simba ngao ya jamii Job alipiga pasi ndefu kwa mayele kisha mayele akaingiza kichwa bila kulainisha


Simba waige mfano huu kutafuta mabeki wazuri sio uchochoro wanaoleta.

Its Pancho
 
I salute kinsmen
Kwa sasa Africa mashariki na kati na pengine Africa nzima inaeleweka wazi hakuna beki wa kati kumzidi kitasa Dickson Job!

Huyu kijana ana uwezo mkubwa sana
Composure ya hali ya juu
Passing ability ya kuwazidi hata viungo wote pale simba


Marking ya hali ya juu sana,
Kama unafuatilia Job huwa hakabi mtu, yeye anaclear mpira chap
Akili yake kubwa ya kunusa hatari ni zaidi ya mbwa wa polisi

Kimo kifupi ila juu unamkuta anaruka
Wapo waliodai ni mfupi ila leo wanalia kimya kimya

Kuna beki zipo pale simba ni uchochoro mkubwa sana hasa yule aliyejiita ukuta wa yeriko na sasa amekuwa ukuta wa mabua .

Sasa TFF wanasubiri nini kumpa tuzo kijana kabla hata msimu kuisha? Maana hakuna zaidi yake hapa bongo.

Kuhusu kutoa assist kwa Job ni kawaida sana kwake achana na game na Al hilal hata kuna mechi na simba ngao ya jamii Job alipiga pasi ndefu kwa mayele kisha mayele akaingiza kichwa bila kulainisha


Simba waige mfano huu kutafuta mabeki wazuri sio uchochoro wanaoleta.

Its Pancho
Ndiyo maana anaitwa, big brain defender
 
I salute kinsmen
Kwa sasa Africa mashariki na kati na pengine Africa nzima inaeleweka wazi hakuna beki wa kati kumzidi kitasa Dickson Job!

Huyu kijana ana uwezo mkubwa sana
Composure ya hali ya juu
Passing ability ya kuwazidi hata viungo wote pale simba


Marking ya hali ya juu sana,
Kama unafuatilia Job huwa hakabi mtu, yeye anaclear mpira chap
Akili yake kubwa ya kunusa hatari ni zaidi ya mbwa wa polisi

Kimo kifupi ila juu unamkuta anaruka
Wapo waliodai ni mfupi ila leo wanalia kimya kimya

Kuna beki zipo pale simba ni uchochoro mkubwa sana hasa yule aliyejiita ukuta wa yeriko na sasa amekuwa ukuta wa mabua .

Sasa TFF wanasubiri nini kumpa tuzo kijana kabla hata msimu kuisha? Maana hakuna zaidi yake hapa bongo.

Kuhusu kutoa assist kwa Job ni kawaida sana kwake achana na game na Al hilal hata kuna mechi na simba ngao ya jamii Job alipiga pasi ndefu kwa mayele kisha mayele akaingiza kichwa bila kulainisha


Simba waige mfano huu kutafuta mabeki wazuri sio uchochoro wanaoleta.

Its Pancho
Huyo mbirikimo toka utopoloni nani ampe tuzo pelekeni mbali hili taka taka la mchezaji
 
tuzo ni numbers nd mana Diarra ni kipa mzuri sana lakn Ley matampi akabeba kipa bora msimu jana,,,ulianza kuongea vzur sana sema kosa ulipofanya comparison na wachezaji wa simba ukafanya mada yako ionekane uko emotional zaidi na una obsession tu na simba kwahy usingetaja simba ulikuwa umeongea vzur sana
 
Akikaa Job na Baka pale nyuma aloo 😅 😅, labda striker wazingue ila wale ni vyuma vya kazi

Japo baka anakatika mara chache na job huziba mianya
 
Back
Top Bottom