TFF wanatakiwa kumpa Job tuzo yake mapema

TFF wanatakiwa kumpa Job tuzo yake mapema

Akikaa Job na Baka pale nyuma aloo 😅 😅, labda striker wazingue ila wale ni vyuma vya kazi

Japo baka anakatika mara chache na job huziba mianya
Shida bacca huwa anakaba mtu sana badala ya mpira
Mfatilie job hapendi kugongana sana labda ikimlazimu kucheza kindava

Yeye ananusa na kuclear ball chap sana
 
Shida bacca huwa anakaba mtu sana badala ya mpira
Mfatilie job hapendi kugongana sana labda ikimlazimu kucheza kindava

Yeye ananusa na kuclear ball chap sana
Na ndio chanzo cha baka kucheza rough nyingi, akiingia anaingia mazima, job angekua mrefu hata cm 10 angekua kaeshaondoka zamaniii 😄🙌
 
Na ndio chanzo cha baka kucheza rough nyingi, akiingia anaingia mazima, job angekua mrefu hata cm 10 angekua kaeshaondoka zamaniii 😄🙌
Job akiwa fit hawezi kukaa nje hata kidogo labda iwe match ambayo haina umuhimu ndiyo asicheze .

Bacca ni mzuri kwenye matumizi ya nguvu ila kwa akili hapana Job ni hatari

Bacca akibanwa anabutua mbele yaani akiona hakuna pa kupiga pasi anabutua angalia Job sasa kukuta anabutua ngumu sana yaani anafikiria mbele ya muda ,tayari kashajua pa kutoa pasi kabla hata pasi hajapewa


Ile assist aliyompa aziz match na Al hilal angekuwa beki mwengine angerudisha mpira kwa kipa kwa diara
 
Hana maajabu ndo maana hata timu za nje huwezi kusikia zikimtaka kwa bahati mbaya....
 
Back
Top Bottom