TFF wanatatizo gani jamani kwanini Simba haichezi katikati ya wiki kisa maandalizi?

TFF wanatatizo gani jamani kwanini Simba haichezi katikati ya wiki kisa maandalizi?

Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana kuhusu ligi yetu. Ukiangalia Chelsea kacheza Jumamosi na Jana iumanne kacheza why Simba tunawekwa ubwete sana. Niwaambie viongozi wa Simba kama wanaona kukaa tu bila kucheza mechi kisa mashindano ya kimataifa tunashusha viwango vya wachezaji. Mimi ni mwanasimba lakini kwenye hili linafikirisha mno kama akili yako inafanya kazi vizuri. Yanga wamecheza Jumamosi na Jumatano wamecheza why Simba tu..
Kuna 4G inanukia Tena kwa mzee wa lupaso [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Siku 18 kavu na mlikimbia....
Mlipokuwa yanga mnashiriki kimataifa uliwahi hoji hili?
Japo sisapoti team kukaa bila kucheza ila mnahoji kana kwamba kuna mazingira ya upendeleo wakati ni kawaida hapa bongo.
Kama Kuna kitu kibaya yanga ilikifanya miaka ya nyuma huko,kwani ni lazima Simba ifanye leo?
 
Sheria za bodi ya ligi Tz inaruhusu kama una match ya kimataifa kutocheza match yoyote ya VPL ndani ya siku 6, nadhani walivyokuwa wanaweka hizi sheria waliangalia zaidi mazingira yetu Tz na Africa kwa ujumla. Mfano, Namungo unaweza mwambia acheze match jumanne Lindi halafu jmosi ana match ya Kimataifa? Miundombinu yetu ya usafiri bado ni duni, safari zinachukua muda mrefu wakati hizo timu za Ulaya zinatumia tu chartered flights tena kwa ndege zinazomilikiwa na timu kabisa, wao watatumia 4hrs while Tz/ africa mtatumia ma siku na uchovu juu.
 
Mbna utopolo mnapenda kujificha kwenye ngozi ya mnyama.
 
Back
Top Bottom