Naomba tukumbushe ni lini washabiki wa Simba waliingia uwanjani kuishabikia timu ya Yanga, pindi Yanga inawakilisha nchi.Tatizo mashabiki wa Yanga hawana akili, mechi ya kimataifa hii lakini wao wataingia kuishangilia Plateau.
hiefu inacheza ligi ya wapi. Kuandika vitu vidogo ni mtihani. Mbumbumbu bhana!Nyie utopolo mnaweza kulipiza kisasi kwa kutuzuia kuangalia mechi yenu na hiefu
Wang'oa viti hamna moral authority ya kusema lolote.TFF mbona hamjakemea mishabiki ya utopolo ilivyokuwa inamrushia makopo mshika kibendera kwenye mechi dhidi ya Azam?
Mashabiki wa utopolo wengi sio wastaarabu
Tuliadhibiwa kwa hilo..sasa kwa nini nyinyi mnaachwa ? Naona Tff wanasubiri maafaWang'oa viti hamna moral authority ya kusema lolote.
hamnaNaomba tukumbushe ni lini washabiki wa Simba waliingia uwanjani kuishabikia timu ya Yanga, pindi Yanga inawakilisha nchi.
Izi ndo akili za wana yanga aka vyura.Ulitaka washangilie Simba?! Nadhani wewe ndiye ambaye huna akili kabisa.
Mbumbumbu SC wanapotezwa sana na uchizi wa afisa habari wao.Shirikisho la Mpira wa Miguu limesema Shabiki yeyote anaruhusiwa kuingia kwenye mechi ya mpira, ikiwa havunji taratibu za mchezo huo
TFF imekemea kauli zinazolenga kuzuia haki ya mashabiki kuingia viwanjani ikisema vitendo hivyo havikubaliki katika mpira wa miguu, kwa mujibu wa Kanuni zao na zile za FIFA
Pia, Soma >>> Simba Sc: Hatutaruhusu shabiki wa Yanga Sc kuingia uwanjani kushabikia wageni
View attachment 1640728
Utopolo mwandamizi akililia kuwaona SimbaUlitaka washangilie Simba?! Nadhani wewe ndiye ambaye huna akili kabisa.
Sasa kama hakuna siku yeyote iliyotokea washabiki wa Simba wakaenda uwanjani kuishabikia Yanga, iweje leo uwatoe akili washabiki wa Yanga kisa tu kwenda kushabikia upinzani wakati ni jambo la miaka yote kwa Simba na Yanga kutosapotiana uwanjani?hamna
mipango yenu inafahamika, kama mnakwenda kusapoti Simba basi vaeni Jersey za SimbaSasa kama hakuna siku yeyote iliyotokea washabiki wa Simba wakaenda uwanjani kuishabikia Yanga, iweje leo uwatoe akili washabiki wa Yanga kisa tu kwenda kushabikia upinzani wakati ni jambo la miaka yote kwa Simba na Yanga kutosapotiana uwanjani?
Shirikisho la Mpira wa Miguu limesema Shabiki yeyote anaruhusiwa kuingia kwenye mechi ya mpira, ikiwa havunji taratibu za mchezo huo
TFF imekemea kauli zinazolenga kuzuia haki ya mashabiki kuingia viwanjani ikisema vitendo hivyo havikubaliki katika mpira wa miguu, kwa mujibu wa Kanuni zao na zile za FIFA
Pia, Soma >>> Simba Sc: Hatutaruhusu shabiki wa Yanga Sc kuingia uwanjani kushabikia wageni
View attachment 1640728
Kama namuona Eymael nyinyi level yenu ihefu mambo ya caf hayawahusuhiefu inacheza ligi ya wapi. Kuandika vitu vidogo ni mtihani. Mbumbumbu bhana!
Yanga wanaenda kuisapo plateau ni nani aliyesema Yanga inaenda kuisapoti Simba? Ni lini Simba na Yanga zimesapotiana? Unasoma halafu unashindwa kuelewa mtu alichoongea.mipango yenu inafahamika, kama mnakwenda kusapoti Simba basi vaeni Jersey za Simba
Soma tena uelewe. Usikurupuke tu kujibu pasipo kuelewa kilichomaanishwamipango yenu inafahamika, kama mnakwenda kusapoti Simba basi vaeni Jersey za Simba
Kwahiyo zikivaliwa jezi za plateau ndio itakuwa sawa kwa upande wenu? Au kusipovaliwa kabisa jezi ya timu yoyote je?Ipo hivi, hakuna jezi ya Utopolo kuingia uwanjani. Waambieni kabisa watapoteza pesa zao
Sorry nimekupata kiongoziSoma tena uelewe. Usikurupuke tu kujibu pasipo kuelewa kilichomaanishwa
Hii mechi washabiki wa plateau hawaruhusiwi kuingia?Sisi tumeshasema code yetu ni White and Red ,Sasa wewe jichanganye uone tutamalizana humohumo ndani na wewe.