Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Naomba tukumbushe ni lini washabiki wa Simba waliingia uwanjani kuishabikia timu ya Yanga, pindi Yanga inawakilisha nchi.Tatizo mashabiki wa Yanga hawana akili, mechi ya kimataifa hii lakini wao wataingia kuishangilia Plateau.