Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kila timu ina mashabiki wasio WASTAARABU....TFF mbona hamjakemea mishabiki ya utopolo ilivyokuwa inamrushia makopo mshika kibendera kwenye mechi dhidi ya Azam?
Mashabiki wa utopolo wengi sio wastaarabu
Nyie 🐒🐒🐒fc mtajua hamjui Kama vp na nyie mje mtuzuie mechi yenu dhidi ya ihefu fc ila tarehe 4 no white or red hatuwataki kwani lazma muangalie mechi yetu??Pelekeni hiyo mechi kwenye ule uwanja wa mudy, Mkapa stadium ni wa wananchi na kila mwananchi anaruhusiwa kuingia
Tushakuambia peleka uwanja wa Mudy na hatutakuja, lakini si ule wa wananchi uliojengwa kwa kodi zetu.Nyie [emoji205][emoji205][emoji205]fc mtajua hamjui Kama vp na nyie mje mtuzuie mechi yenu dhidi ya ihefu fc ila tarehe 4 no white or red hatuwataki kwani lazma muangalie mechi yetu??
Wewe ni mjinga na mpumbavu pamoja...waliofanya hivyo kwa upande wa Yanga ni mashabiki wachache na siyo kiongozi....uongozi wa Yanga ulikemea kitendo kile....ila kwa upande wenu ni mropokaji wenu ambaye ni kiongozi wa Simba ndiye aliyetoa tamko lile la kuwazuia wanayanga wasiingie uwanjani...kauli ile ni ya kihuni na ya kishenzi...yaani inaleta mgawanyiko ndani ya jamii na taifa kwa ujumla wake..ni kauli yenye madhara makubwa kwa taifa...hivi unadhani wanayanga kwa maelfu wakija uwanjani siku ile na kuvamia madhara kwa Simba na soka ya Tanzania yatakuwaje?! Yaani huyo mropokaji wenu ilipaswa afungiwe kutojihusisha na soka...yaani anaropoka tu asijue madhara yake....halafu TFF inamlea..Msijisahaulishe...hivi karibuni mmekua mkipiga mashabiki wa Simba kwenye mechi zenu na hiyo ndo sababu...kama kuzomea na kushangilia mmefanya kwenye mechi yenu dhidi yetu na tumewapiga nne...mmeshangilia Nkana, Al ahly ,As vita,Js soura na tumeshinda...Simba hajawahi ogopa kelele za Chura tena wa Jangwani...ila kuweni wastaarabu...juzi tu mechi ya Azam mnarusha makopo...TFF inashindwa kuwawajibisha sababu za kisiasa ila tumewaonyesha kwamba hatuwataki kama mnalazimisha lazimisheni...pia mjirekebishe mmekuwa wapuuzi sana.
Wakichezea kwa Mkapa tutaingia na jezi zetu za njano na kijani.Tushakuambia peleka uwanja wa Mudy na hatutakuja, lakini si ule wa wananchi uliojengwa kwa kodi zetu.
Wewe ni mjinga na mpumbavu pamoja...waliofanya hivyo kwa upande wa Yanga ni mashabiki wachache na siyo kiongozi....uongozi wa Yanga ulikemea kitendo kile....ila kwa upande wenu ni mropokaji wenu ambaye ni kiongozi wa Simba ndiye aliyetoa tamko lile la kuwazuia wanayanga wasiingie uwanjani...kauli ile ni ya kihuni na ya kishenzi...yaani inaleta mgawanyiko ndani ya jamii na taifa kwa ujumla wake..ni kauli yenye madhara makubwa kwa taifa...hivi unadhani wanayanga kwa maelfu wakija uwanjani siku ile na kuvamia madhara kwa Simba na soka ya Tanzania yatakuwaje?! Yaani huyo mropokaji wenu ilipaswa afungiwe kutojihusisha na soka...yaani anaropoka tu asijue madhara yake....halafu TFF in
Kuniita mjinga na mpumbavu hakufanyi hoja yako kuwa ya maana, jifunze kuheshimu watu na mawazo na mawazo yao hata ukiwa nyuma ya keyboard.Wewe ni mjinga na mpumbavu pamoja...waliofanya hivyo kwa upande wa Yanga ni mashabiki wachache na siyo kiongozi....uongozi wa Yanga ulikemea kitendo kile....ila kwa upande wenu ni mropokaji wenu ambaye ni kiongozi wa Simba ndiye aliyetoa tamko lile la kuwazuia wanayanga wasiingie uwanjani...kauli ile ni ya kihuni na ya kishenzi...yaani inaleta mgawanyiko ndani ya jamii na taifa kwa ujumla wake..ni kauli yenye madhara makubwa kwa taifa...hivi unadhani wanayanga kwa maelfu wakija uwanjani siku ile na kuvamia madhara kwa Simba na soka ya Tanzania yatakuwaje?! Yaani huyo mropokaji wenu ilipaswa afungiwe kutojihusisha na soka...yaani anaropoka tu asijue madhara yake....halafu TFF inamlea..
Unaowaita wahuni walishaadhibiwa ...baadhi wamepigwa marufuku wasiingie uwanja wowote wa soka kwa mwaka mmoja...Hilo la maneno ya mjinga na mpumbavu nenda kwenye kamusi uone maana yake...na huyo mropokaji wenu unaona ni sawa anavyotaka kuleta uaduni wa Yanga na Simba ndani ya jamii?! Yanga na Simba ni watani siyo maadui...Kuniita mjinga na mpumbavu hakufanyi hoja yako kuwa ya maana, jifunze kuheshimu watu na mawazo na mawazo yao hata ukiwa nyuma ya keyboard.
Uhuni unaofanywa na mashabiki wa Yanga unapaswa kuadhibiwa....inabidi wasiingie uwanjani hao wahuni pia walipe na faini...kukemea tu hakutoshi kwani tangu wakemewe mara ya kwanza vitendo hivyo viovu wamezidi kuvifanya...binafsi nasimamia msimamo wangu hao wahuni wasiingie kwenye mechi zetu mpaka wajirekebishe tena hata za ligi,kwani wanahatarisha usalama...dunia nzima watu wanafungiwa kwa vitendo hivyo ref case ya mashabiki wa Al ahly na Zamalek...msituletee siasa bana.
Sawa nimekuelewa,lakini kumbuka "Defamation" ni untrue staments zinazokua published kumchafua mtu....sidhani kama unaweza prove hayo maneno uliyoyaandika kama ni ya kweli...kuwa makini na mitandao hii...anyways Usiku mwemaUnaowaita wahuni walishaadhibiwa ...baadhi wamepigwa marufuku wasiingie uwanja wowote wa soka kwa mwaka mmoja...Hilo la maneno ya mjinga na mpumbavu nenda kwenye kamusi uone maana yake...na huyo mropokaji wenu unaona ni sawa anavyotaka kuleta uaduni wa Yanga na Simba ndani ya jamii?! Yanga na Simba ni watani siyo maadui...
Sawa na wewe usiku mwema Ndugu yangu...inaelekea wewe ni mtu mstaarabu Sana...nimependa namna ulivyo-respond comments zangu...Safi Sana...deep from my heart..samahani kwa comment zangu za awali Kama nilikukwanza...thank you...ila mshaurini huyo msemaji wenu kuwa aache kauli za Shari....wako ambao hawawezi kuvumilia kauli zake...leo baadhi ya wanayanga wamewapokea plateau...Nina uhakika ni hasira ya mropokaji wenuSawa nimekuelewa,lakini kumbuka "Defamation" ni untrue staments zinazokua published kumchafua mtu....sidhani kama unaweza prove hayo maneno uliyoyaandika kama ni ya kweli...kuwa makini na mitandao hii...anyways Usiku mwema
Sawa nimekuelewa,lakini kumbuka "Defamation" ni untrue staments zinazokua published kumchafua mtu....sidhani kama unaweza prove hayo maneno uliyoyaandika kama ni ya kweli...kuwa makini na mitandao hii...anyways Usiku mwema
Usijali ndugu yangu...mambo ya kawaida tu.Sawa na wewe usiku mwema Ndugu yangu...inaelekea wewe ni mtu mstaarabu Sana...nimependa namna ulivyo-respond comments zangu...Safi Sana...deep from my heart..samahani kwa comment zangu za awali Kama nilikukwanza...thank you...ila mshaurini huyo msemaji wenu kuwa aache kauli za Shari....wako ambao hawawezi kuvumilia kauli zake...leo baadhi ya wanayanga wamewapokea plateau...Nina uhakika ni hasira ya mropokaji wenu
Kwa simba lkn sio taifa,Tatizo mashabiki wa Yanga hawana akili, mechi ya kimataifa hii lakini wao wataingia kuishangilia Plateau.
Uwe na kadi yao ya uanachama ama viza kuonesha umekuja nao kutazama mpira.Simba mna matatizo makubwa mno...akili ndogo mno...yaani mnataka uwanja wajae Simba tu? Very stupid...stupid indeed...ni lazima sehemu ya kukaa wapenzi wa plateau itengwe, mpende msipende...ndiyo kanuni ya soka duniani...