Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Shirikisho la Mpira wa Miguu limesema Shabiki yeyote anaruhusiwa kuingia kwenye mechi ya mpira, ikiwa havunji taratibu za mchezo huo
TFF imekemea kauli zinazolenga kuzuia haki ya mashabiki kuingia viwanjani ikisema vitendo hivyo havikubaliki katika mpira wa miguu, kwa mujibu wa Kanuni zao na zile za FIFA
Pia, Soma >>> Simba Sc: Hatutaruhusu shabiki wa Yanga Sc kuingia uwanjani kushabikia wageni
TFF imekemea kauli zinazolenga kuzuia haki ya mashabiki kuingia viwanjani ikisema vitendo hivyo havikubaliki katika mpira wa miguu, kwa mujibu wa Kanuni zao na zile za FIFA
Pia, Soma >>> Simba Sc: Hatutaruhusu shabiki wa Yanga Sc kuingia uwanjani kushabikia wageni