Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa unaweza kushangaa zikawa 8 sio 5 tenahayo matokeo yenu kwenye fikra zenu kabla ya mechi kuchezwa, angalia yasije yakakufedhehesha.
derby ni mechi inayohitaji nidhamu na siyo dharau.
toka hapa una roho mbaya ☹️Acha tuwakande hiyo tar 8 hadi warudi kwao wanachechemea
Utani kidogo mkuu, hatuwezi kuwa serious muda woteNikiwa kama shabiki wa Yanga na pia mdau wa michezo; sikubaliani na hiki ulichokiandika. Unless otherwise, umeleta mada yako katika hali ya utani. Ila ukija kwenye uhalisia; mpira hauko hivyo.