Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatufundisha jinsi ya kucheza derby?hayo matokeo yenu kwenye fikra zenu kabla ya mechi kuchezwa, angalia yasije yakakufedhehesha.
derby ni mechi inayohitaji nidhamu na siyo dharau.
We hauogopi?mechi za Simba na utopolo hazipo kama unavyodhani.
Hilo goli alilofunga na timu mbovu ya daraja la pili Telecom!wote wawili ni wachezaji wa misimu iliyopita sasa kwa yangu anatoboa wapi?We....simba kuna huyo chasambi anafunga hadi akiwa benchi
Muulize manulaWe hauogopi?
Mwakajana walisema hivyo hivyo wakapigwa Home/awaymechi za Simba na utopolo hazipo kama unavyodhani.
Mkuu umesema kweli. Kuna mechi fulani ya Simba vs Yanga nadhani ni msimu wa 2019/20. Kipindi hicho Simba walikuwa on fire sana, basi walipiga mikwara kuwa Yanga wakiingia uwanjani milango yote ifungwe funguo za milango akae nazo IGP. Nakumbuka Kocha wa Yanga alikuwa Charles Bonphace Mkwasa "Master" aliwajibu Simba kuwa wasije na matokeo mfukoni maana watahatarisha maisha yao kwa kuzimia pale itakapotokea matokeo ni tofauti na matarajio yao. Kilichotokea uwanjani siku hiyo hadi kipindi cha pili kinaanza Yanga alikuwa amepigwa 2-0. Mara baada ya goli la pili kuingia Yanga walifunga goli la kwanza na baadaye la pili. Tukashangaa Simba wameanza kuutafuta mpira kwa tochi. Na kama Yanga wangeongeza bidii kidogo wangeweza kupata goli la tatu. Mchezo ulimalizika kwa sare ya 2-2.hayo matokeo yenu kwenye fikra zenu kabla ya mechi kuchezwa, angalia yasije yakakufedhehesha.
derby ni mechi inayohitaji nidhamu na siyo dharau.
Kwamba bingwa wa ligi asicheze ngao ya hisani??ibaki mechi kati ya Azam fc na Coastal Union fc
Good thinkingTimu moja iko imara nyingine inajitafuta, naona kabisa kuna timu inaenda kudhalilishwa hiyo tar 8/08/2024,
Nawashauri Tff waifute mechi hii ili ibaki mechi kati ya Azam fc na Coastal Union fc
Nb. sijataja timu.
upo sahihi kabisa mkuuMkuu umesema kweli. Kuna mechi fulani ya Simba vs Yanga nadhani ni msimu wa 2019/20. Kipindi hicho Simba walikuwa on fire sana, basi walipiga mikwara kuwa Yanga wakiingia uwanjani milango yote ifungwe funguo za milango akae nazo IGP. Nakumbuka Kocha wa Yanga alikuwa Charles Bonphace Mkwasa "Master" aliwajibu Simba kuwa wasije na matokeo mfukoni maana watahatarisha maisha yao kwa kuzimia pale itakapotokea matokeo ni tofauti na matarajio yao. Kilichotokea uwanjani siku hiyo hadi kipindi cha pili kinaanza Yanga alikuwa amepigwa 2-0. Mara baada ya goli la pili kuingia Yanga walifunga goli la kwanza na baadaye la pili. Tukashangaa Simba wameanza kuutafuta mpira kwa tochi. Na kama Yanga wangeongeza bidii kidogo wangeweza kupata goli la tatu. Mchezo ulimalizika kwa sare ya 2-2.
😃😃😃😃Timu moja iko imara nyingine inajitafuta, naona kabisa kuna timu inaenda kudhalilishwa hiyo tar 8/08/2024,
Nawashauri Tff waifute mechi hii ili ibaki mechi kati ya Azam fc na Coastal Union fc
Nb. sijataja timu.
Ila kitakwimu yuko sahihiNikiwa kama shabiki wa Yanga na pia mdau wa michezo; sikubaliani na hiki ulichokiandika. Unless otherwise, umeleta mada yako katika hali ya utani. Ila ukija kwenye uhalisia; mpira hauko hivyo.
Ainisha na timu walizocheza nazo, hapo kuna timu ilikuwa inacheza wauza vocha na vijana wa mtaaniPre season Match ;
Simba Sc
Match 3,
Goals 7 [ kufunga ]
Goals 2 [ kufungwa ]
Pre season ;
Yanga Sc
Match 3
Goals 6 [ kufunga ]
Goals 2 [ kufungwa ]
Chambua......
Hahahahaha....huo ugomvi naukwepa mkuuAinisha na timu walizocheza nazo, hapo kuna timu ilikuwa inacheza wauza vocha na vijana wa mtaani