TFF ya Malinzi Imepoteza Uhalali wa Kutawala Muhula wa Pili


Mkuu uwezo wa watu wengi kujadili hoja unapungua sana siku hizi.

Kila linalozungumzwa litajibiwa na matusi, kashfa na ujinga mwingine wowote. Halafu mbaya zaidi hawa hawa watukanaji ndio wanakuja kuwa viongozi wa vilabu vyetu, kamati na hata TFF yenyewe!!!! Na hawa ndio wapiga kura wanaoingiza madarakani viongozi aina ya hawa waliopo TFF. Unategemea nini? Fikiria michango yote hii, ni michango miwili tu ndio imekosoa hoja wengine ni ndio kama unavyoona hoja zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…