TFF ya Malinzi yashikishwa adabu

Tumia akili kufikiria kidogo sio unaleta ushabiki kila kitu

1.Source ya hiyo habari ni nani TFF au CAF ?
2.CAF huwa wanahusiki na viingilio vya mechi ?
3.Kwenye mapato ya mechi kuna mgawo CAF wanapata ?
4.Mechi imechezwa Jumanne jioni taarifa imetoka jana jioni,CAF walikaa lini kupitia ripoti za wasimamizi ?
 
Uwanja utalipwa kwani hiyo ni direct cost, siyo mpaka wa calculate asilimia
Ambulance italipwa
Hela ya usafi italipwa na hizo ni fixed costs
Mbona Msemaji wa Yanga jana aliongea vizuri tuu ndugu yangu

Let say uwanja hajaingia shabiki hata mmoja unadhani haulipiwi!!?

Kwa hiyo hizo ni pesa tofaut kabisa

Direct cost (fixed) yatalipwa

Makato (not fixed) hutokana na mapato ya uwanjani, soTFF hawapati kitu

Usitumie jazba mkuu mambo madogo haya
 
Sheria ya mtandao ilianzishwa kwa ajili ya wazushi kama nyie
 
Yanga walichofanya ni kama kwa mfano kupanga kiingilio shilingi moja. Wako sawa.
 
Yani malinzi na tff yake nimewaona watu wa ajabu sana, yani kila wakiona thread huku jf wanapata hasira, wakihojiwa na vyombo vya habari wanakosa majibu.

Leo Msabaha kamtwanga swali malinzi ila badala ya kujibu akaishia kujitapa anajua haya mambo mara ooh hababaiki mwisho nayeye akamwuliza Msabaha kua anatoka chombo gani cha habari, jamaa akapewa jibu zuri tu, "Naitwa Msabaha wa radio Times FM". Kupe kusikia hivyo akachoka na kusema hana la kujibu.

Nashauri malinzi na katibu wake waache jaziba kwenye soka letu na huo umaimuna wao waupeleke walikotoka huko kwenye ndondi.

Jamal Malinzi nuna tena
 
Leo malinzi kadai kuanzia mechi ijayo wao ndio watakaosimamia viingilio na utaratibu wote wa kuwapokea waamuzi na timu itakayocheza na Yanga!kiukweli kanishangaza sana,km ni hivyo hao tff wakapange hadi line up ya wachezajibwa Yanga
 
Leo malinzi kadai kuanzia mechi ijayo wao ndio watakaosimamia viingilio na utaratibu wote wa kuwapokea waamuzi na timu itakayocheza na Yanga!kiukweli kanishangaza sana,km ni hivyo hao tff wakapange hadi line up ya wachezajibwa Yanga
Tff ni maskini wa akili na oesa pia
Yaan ni wakuwapinga tuuu
 
Simba pia wanaonewa wamekuwa kikundi cha ushangiliaji kwa sasa timu hamna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…