TFF ya sasa tustarajie mabadiliko ya soka

TFF ya sasa tustarajie mabadiliko ya soka

Sijui tumeshindwa nini kumpata Tenga mwingine
 
Tenga ndiye aliyevutia wadhamini wengi zaidi kuanza kuwekeza kwenye ligi

Nakumbuka hata azam alisaini mikataba yeye
Ila huyu msomali anatuvurugia mpira tu
Akafie mbele huyo atuache na mpira wetu
 
Back
Top Bottom