TFF ya shabiki na mwanachama wa Simba (Wallace Karia) imeanza kuibeba Yanga.?

Kwa hivyo tuna hitimishaje hili suala.?

maana kipindikileilikuwa Malinzi anaipendelea Yanga, Je leo tutakuwa tumekosea kusema shabiki/mwanachama ndakindaki wa Simba Rais wa TFF Bw W. Karia anaipendelea Yanga...?
Zama za kubebwa na magoli ya mkono za Tambwe hakuna tena, cheza mpira otherwise kamtoe Malinzi kama una ubavu huo
 
Utasema mengi sana. Lakini elewa zile hila za Tifuatifua kwa Klabu Bora Afrika Simba SC.

Hakuna tena..!

Klabu bora Africa? Kwa mafanikio gani yaani.?

Au baada ya kumfunga Yanga bao 5 tayari umejiona ni bora barani Afrika?
 
Zama za kubebwa na magoli ya mkono za Tambwe hakuna tena, cheza mpira otherwise kamtoe Malinzi kama una ubavu huo


Hata Rais wako Pombe Magu ameingia madarakani kwa bao la mkono. Sembuse Yanga.?

Lile bao la sabuni hamtokuja lisahau kamwe kwenye maisha yenu.😀😀😀😀
 

Mbona yanatokea sana, juzi kwenye mechi ya Man United vs Leicester City. Kipa wa Leicester aliwai kutoka wakati akidaka mkwaju wa penalti lakini refa alikausha.
Haya mambo yanatokea sana kwenye soka na sio umrishie lawama rais wa tff.
 
Mbona yanatokea sana, juzi kwenye mechi ya Man United vs Leicester City. Kipa wa Leicester aliwai kutoka wakati akidaka mkwaju wa penalti lakini refa alikausha.
Haya mambo yanatokea sana kwenye soka na sio umrishie lawama rais wa tff.


Bado nangoja wale wanao sema Yanga SC inabebwa na maafisa wa uamuzi uwanjani.
 
Yanga dume, mashabiki wa Simba huwa hawajielewi
Wanazidiwa kila kitu lakini wakute wanavyojisifia unajua kabisa haya majinga
Nimefurahi tumeanza vizuri mwendo huu huu mwisho tunanyanyua ndoo tunawaacha wakisusa au kukimbilia FIFA
 
Klabu bora Africa? Kwa mafanikio gani yaani.?

Au baada ya kumfunga Yanga bao 5 tayari umejiona ni bora barani Afrika?
Simba SC ni Klabu Bora Afrika kwa vile

Nimecheza Nusu Fainali Klabu Bingwa Barani Afrika. Fainali Kombe la Shirikisho.

Weka ubora wako nawe...!
 
Simba SC ni Klabu Bora Afrika kwa vile

Nimecheza Nusu Fainali Klabu Bingwa Barani Afrika. Fainali Kombe la Shirikisho.

Weka ubora wako nawe...!

Hizo ni "zilipendwa".

Huwezi kuwa bora tu kwa kushiriki. Makanikio yanapimwa kwa kufikia lengo.

Leo hii Arsenal imeshiriki mara kibao fainali za UEFA zaidi ya Aston Villa ila Aston Villa amemshinda Arsenal kwa mafanikio ya soka la barani ulaya (UEFA).

Arenal (0 - UEFA Cup)
Aston Villa (1 - UEFA Cup)
 
OK.. Tuwekee zilipendwa za kwako basi. Au huna?
 
OK.. Tuwekee zilipendwa za kwako basi. Au huna?

Zangu sio zilipendwa.

ni Zinapenda na Zinaendelea kupendwa tu.

Mataji ya Ligi 27 sio mchezo.
Mataji ya Ngao ya jamii mara 5 sio mchezo.

Hebu nitajie Local tittles ambazo unaweza jivunia nazo dhidi ya yanga. ZanzibaCup...etc.
 
Zangu sio zilipendwa.

ni Zinapenda na Zinaendelea kupendwa tu.

Mataji ya Ligi 27 sio mchezo.
Mataji ya Ngao ya jamii mara 5 sio mchezo.

Hebu nitajie Local tittles ambazo unaweza jivunia nazo dhidi ya yanga. ZanzibaCup...etc.
Ha ha haaa. Unatia huruma mno kwani Ligi Kuu Tanzania Bara

Sijawahi kushinda? Eleza ubora wako Afrika
 
Ha ha haaa. Unatia huruma mno kwani Ligi Kuu Tanzania Bara

Sijawahi kushinda? Eleza ubora wako Afrika
Mbona hutaji idadi ya VPL tittles ulizoshinda...au ni sawa na miaka ya teenager amayeelekea kupevuka..?
 
Povu tuwaachi wakina Diamond & Alikiba.

Je ni kweli shabikimwenzenu wa Simba (Karia) ameanza kuonyesha mahaba na Yanga au ni macho yangu yana makengeza.?
Kwanini unaamini mm Ni mshabiki WA Simba?pitia thread zangu hapa jamvini upate uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…