TFF yaachana na Kim Poulsen

TFF yaachana na Kim Poulsen

Mimi nadhani ni wakati muafaka kama Taifa la Tanzania [emoji1241] kama kweli tunahitaji maendeleo upande wa timu ya taifa tujiweke pembeni na mashindano angalau Kwa miaka hata kumi huku tukiwa na mpango Kazi Kama taifa wa kuinua soka tupate damu mpya itakayo kuja na nguvu mpya ya kulipigania Taifa la sivyo tutabaki kutapatapa [emoji120][emoji120]
 
Nikadhani Karia ndiyo angeanza kujiweka pembeni?
Karia ndiye kiongozi wa TFF (kuanzia enzi za FAT) mwenye mafanikio zaidi kuliko wote. Timu za Taifa zilizokata tiketi kucheza fainali katika level ya Afrika na Dunia na kupanda thamani kwa ligi kuu ya Bara, kote kumetokea katika utawala wa Karia. Anayesema kinyume na haya aweke rekodi zake hapa
 
Karia ndiye kiongozi wa TFF (kuanzia enzi za FAT) mwenye mafanikio zaidi kuliko wote. Timu za Taifa zilizokata tiketi kucheza fainali katika level ya Afrika na Dunia na kupanda thamani kwa ligi kuu ya Bara, kote kumetokea katika utawala wa Karia. Anayesema kinyume na haya aweke rekodi zake hapa
Hatutaki porojo hapa.

Ebu tuwekee Tanzania kwenye ranking ya FIFA ni ya ngapi kwa uongozi tofauti wa FAT na TFF.

Screenshot_20220829-170235_Chrome.jpg
 
Na yule chawa wake Oscar Mirambo, walitakiwa kwa pamoja kujiondoa ili kuwaachia wenye mpira wao.

Miaka nenda wanapiga tu hela pale TFF! Hakuna mkakatibwa kieleweka kwenye soka la vijana! Ona sasa, timu inacheza ikiwa haina kabisa morali! Yaani wachezaji wanacheza tu bora liende!! Hakuna muunganiko uwanjani! Hovyo kabisa.

Kumuondoa kocha bado haiwezi kubadilisha chochote iwapo TFF yenyewe imejaa wanasiasa, badala ya wanamichezo.
Kwani TFF inahusikaje na matokeo mabaya ya Timu ya Taifa?
 
Karia ndiye kiongozi wa TFF (kuanzia enzi za FAT) mwenye mafanikio zaidi kuliko wote. Timu za Taifa zilizokata tiketi kucheza fainali katika level ya Afrika na Dunia na kupanda thamani kwa ligi kuu ya Bara, kote kumetokea katika utawala wa Karia. Anayesema kinyume na haya aweke rekodi zake hapa
Na mm nashangaa watu watoka povu tu pasipo reference... Currently TFF is doing better kwa soka la Tanzania!
 
Yule mzungu kichaa wetu ambaye kila siku haridhishwi na wachezaji leo Asitembee ovyo viongozi wakimwona watakumbuka kumla kichwa babu kapama
 
E
Ebu tuwekee Tanzania kwenye ranking ya FIFA ni ya ngapi kwa uongozi tofauti wa FAT na TFF.
TFF ni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, sio Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Taifa Stars. Kuna vilabu, soka ya wanaume, soka ya vijana, soka ya wanawake, soka ya walemavu, soka ya ufukweni, mikataba ya wadhamini nk. Ni wale wenye upeo mdogo tu wa mawazo ndio wanakuwa wanaiangalia Taifa Stars tu kati ya timu zote
 
TFF ni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, sio Shirikisho la Mpira wa Miguu wa Taifa Stars. Kuna vilabu, soka ya wanaume, soka ya vijana, soka ya wanawake, soka ya walemavu, soka ya ufukweni, mikataba ya wadhamini nk. Ni wale wenye upeo mdogo tu wa mawazo ndio wanakuwa wanaiangalia Taifa Stars tu kati ya timu zote
Upeo finyu sana, tuanaangalia Taifa Stars, hizo zingine ni kachumbari tu.

Enzi za FAT kulikuwepo na Soka la Wanawake? Nakushangaa sana.
 
Upeo finyu sana, tuanaangalia Taifa Stars, hizo zingine ni kachumbari tu.
mnaangalia wewe na nani? FIFA inakutambua? FIFA inaitambua TFF kama msimamizi wa Soka la Tanzania kuanzia vilabu, soka ya wanaume, soka ya vijana, soka ya wanawake, soka ya walemavu, soka ya ufukweni, mikataba ya wadhamini nk
 
mnaangalia wewe na nani? FIFA inakutambua? FIFA inaitambua TFF kama msimamizi wa Soka la Tanzania kuanzia vilabu, soka ya wanaume, soka ya vijana, soka ya wanawake, soka ya walemavu, soka ya ufukweni, mikataba ya wadhamini nk
Unaulizwa maswali badala ya kuyajibu unaongea utumbo!

Jibu maswali niliyokuuliza.
 
Tff ndio wameharibu soka la timu ya taifa kwa kuruhusu ligi kutawaliwa na wageni na wazawa wanapigwa benchi kwenye club zao viwango vinashuka.
Kwani wakati ligi ilikuwa inachukua wachezaji wa 3 wa kigeni tulipiga hatua gani kwenye timu ya Taifa?!
Tukubali kwa kauli moja kuwa wachezaji wetu wana uwezo mdogo na hawapo tayari kujifunza kwa waliofanikiwa na kujitoa kwaajili ya Taifa.
 
Unaulizwa maswali badala ya kuyajibu unaongea utumbo!
Onyesha swali nililoulizwa nikaacha kujibu. Kama FAT hakukuwapo soka la wanawake Tanzania wakati duniani lilikuwapo, sasa huo ndio uimara na uchapakazi wa Karia maana amelianzisha kwa mafanikio makubwa
 
Cameroon imewahi kuitoa timu yake ya taifa kushiriki mashindano ya kimataifa kwa miaka mitatu ili wajipange upya, na kweli timu ya taifa ya Cameroon iko vizuri sana kwa sasa.. nadhan nasisi yatupasa kuiondoa timu ya taifa kwenye mashindano ya kimataifa kwa muda wa miaka mitano ili tujipange, vinginevyo tutaendelea kupata aibu. Hii fukuza huyu weka huyu haita tusaidia kamwe
 
Tanzania soka tunalazimisha sii asili yetu. Tubakie kwenye vilabu wenye hela wanunue wachezaji wa nchi zenye maumbo na vipaji vya soka. Sisi tuimarishe ndonga na riadha. Tukubali kama wahindi ulisha washinda kama sisi, wana fedha na popolation kubwa kuliko sisi ila vipaji hawana
Hata hivyo, kim alikuwa analia kila siku apatiwe mechi za kirafiki hola, mpaka uwanja wa kufanyia mazoezi ananyimwa, angefaulu vipi?

Wahamasishaji wa kujaza uwanja ndio nao wamefungiwa kabaki bongozozo anazurura mwenyewe na libendera lake uwanjani

Wengine wapo bize na utopolo na makolo
 
Tff ndio wameharibu soka la timu ya taifa kwa kuruhusu ligi kutawaliwa na wageni na wazawa wanapigwa benchi kwenye club zao viwango vinashuka.
Wageni wameanza kuja mwaka gani ? Je huko nyuma kabla wageni hawajawa wengi tushawahi shiriki kombe la dunia? Mpira hauna ujanja ujanja . Imagine wachezajia walioibuliwa na azam wa kitanzania wameng'aa sana kwenye hizi timu pendwa . Kila timu ingekua na youth program kama ile ya azam leo hii tungekuwa na wachezaji wengi . Tumebaki maneno acha wanaojua wacheze wengine tuwe mashabiki
 
Karia kashindwa kuongoza mpira anategemea kimvuli cha Simba na Yanga na anaamini hizo zikifika mbali Klabu Bingwa kwa kuruhusu wachezaji wageni wengi atakua salama mimi naona aondoke tuu awaachie watu wa mpira pale...
 
Back
Top Bottom