Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Sekretarieti ya TFF imefungua shauri mbele ya kamati ya maadili dhidi ya Ofisa wa Klabu ya Yanga Haji Manara, kutokana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.
Manara alionekana akijibishana na kiongozi wa juu wa TFF ambaye ni Rais Wallace Karia, jana Julai 2,2022 wakati wa fainali la Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup Jijini Arusha, jambo ambalo linaonekana ni kinyume na maadili ya mpira wa miguu Nchini.
Manara alionekana akijibishana na kiongozi wa juu wa TFF ambaye ni Rais Wallace Karia, jana Julai 2,2022 wakati wa fainali la Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup Jijini Arusha, jambo ambalo linaonekana ni kinyume na maadili ya mpira wa miguu Nchini.