TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

Miaka 5 bila kujihusisha na mambo ya mpira wa miguu Tz!!!!!
 
TFF imemlea sana Manara. ni mtu hatari asie na akili na anatumia mdomo wake kwa vyovyote vile kupata mlo. ikumbukwe aliichafua sana sura ya mpira wa tanzania alipopost Simba inatumia madawa na hujuma kwa timu za wageni. majhuzi kasema sajili zetu kuna watu wanaleta mchezaji dola laki moja arobaini ya kwao ambayo tafsiri yake kuna rushwa kubwa sana kwenye mpira wa Tanzania. Hata kama madai hayo yana ukweli lakini sio kwa njia ya kuchafua nchi nzima. TFF imuondoe kabisa Manara kwenye mira wa Tanzania ni sawa na kufuga Mbwa aje akuume msikitini.
Hakuna kitu kinachoitwa kuchafua nchi, hizi ni political slogans, ukweli uelezwe na uelezwe jinsi ulivyo, kama kuna corruption tuambiwe hivyo, sio kuupaka sukari
 
Hakuna kitu kinachoitwa kuchafua nchi, hizi ni political slogans, ukweli uelezwe na uelezwe jinsi ulivyo, kama kuna corruption tuambiwe hivyo, sio kuupaka sukari
sibishani na ulewa wako na imani yako. iwe political slogan au jargons KEEP THEM TO YOUR BACK. UKWELI UTAUONA.
 
TFF imemlea sana Manara. ni mtu hatari asie na akili na anatumia mdomo wake kwa vyovyote vile kupata mlo. ikumbukwe aliichafua sana sura ya mpira wa tanzania alipopost Simba inatumia madawa na hujuma kwa timu za wageni. majhuzi kasema sajili zetu kuna watu wanaleta mchezaji dola laki moja arobaini ya kwao ambayo tafsiri yake kuna rushwa kubwa sana kwenye mpira wa Tanzania. Hata kama madai hayo yana ukweli lakini sio kwa njia ya kuchafua nchi nzima. TFF imuondoe kabisa Manara kwenye mira wa Tanzania ni sawa na kufuga Mbwa aje akuume msikitini.
Alipigwa faini mwakalebela kwa jambo jepesi kabisa, lakini huyu ambaye daily haishiwi kashfa na tena zenye ushahidi wa wazi ambao kila mtu anaona lakini bado wanafuga ubovu kwa kumlea lea
 
😄😄 na yule msomali kwa ban ndefu ndefu Yuko vzr Sana.
Huyo msomali aanze na Karai aliemchokoza Haji hakuna mtu yuko juu ya sheria Yanga wasimamie haki itendeke, Yanga wakikubali Haji kuonewa Yanga itaonewa na mengine!
 
Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
kwani Manara ameanza kutukana watu leo? Kumbuka amewahi kuwaita nyinyi Yanga wote wapuuzi kasoro Baba yake na JK.
 
Yule ni mtu wa GSM sio YANGA. Hivyo GSM wataongea kikubwa na TIEFUEFU
Yupo pale kwa kazi maalumu, bila kuchafua taswira ya mpira na kukejeli bado hawezi kuonekana kama anafanya kazi ya GSM

Sijui anajiona kama nani vile, TFF noeni hilo Panga.
 
TFF imemlea sana Manara. ni mtu hatari asie na akili na anatumia mdomo wake kwa vyovyote vile kupata mlo. ikumbukwe aliichafua sana sura ya mpira wa tanzania alipopost Simba inatumia madawa na hujuma kwa timu za wageni. majhuzi kasema sajili zetu kuna watu wanaleta mchezaji dola laki moja arobaini ya kwao ambayo tafsiri yake kuna rushwa kubwa sana kwenye mpira wa Tanzania. Hata kama madai hayo yana ukweli lakini sio kwa njia ya kuchafua nchi nzima. TFF imuondoe kabisa Manara kwenye mira wa Tanzania ni sawa na kufuga Mbwa aje akuume msikitini.
Ulemavu wake anautumia vibaya ban ya maisha itamfaa akamropokee mkewe, samahani kwa mimi kufikia kusema hayo ameanza kukera muda mrefu ila wanamuonea aibu kumuhukum
 
Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
huenda karia anakosa ila anasemwa manara
 
Back
Top Bottom