[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukisikia ulofa ndiyo huo. Kumbe ninyi mlimjua kuwa ana mdomo mchafu lakini bado mkampokea tena kwa mbwembwe mtu aliyewakashifu, eti kuwakoga Simba...
MagufuliKwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Labda wakati huo yalikuwa hayajaanza kumfuata alipo..!! Alipo yapo..!!Mbona Kabla ya uwekezaji wa mo pale simba hayo makombe hatukuyaona na Manara alikuwepo?
Nchi ngumu Sana hii!
Alivyokua Simba hakua limbukeni unafki ni tatizo kubwa sana kwa watanzaniaManara ni limbukeni, anadhani kila atakachofanya ataaminiwa zaidi na mashabiki wa utopolo kumbe anajitafutia balaa, amekuwa mropokaji mjinga asiyetumia akili kabisa.
Sasa kama TFF walimfungia Shafii Dauda kwa kosa dogo kama lile, huyu Manara wasipomfungia zaidi ya miaka saba nitaamini TFF wanatumiwa na GSM, na Shafii walimuonea.
Wakati huo mashabiki wa Simba mkawa mnamkingia kifuakwani Manara ameanza kutukana watu leo? Kumbuka amewahi kuwaita nyinyi Yanga wote wapuuzi kasoro Baba yake na JK.
Umesoma hiyo statement ya TFF? ukiisoma vizuri utagundua unaweza ukawa na fact lakini haitasaidia Manara kuchomoka labda GSM wakaongee kikubwa na bwana Karia/ TFFKwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Sio kiongozi wa mpira tu, hata baba yako atataka umuabudu hakuna namnaYaani kila kiongozi wa shirikisho la mpira Tanzania hutaka kuabudiwa kweli kweli, kinyume chake atakula kichwa chako.
Ni afadhali kidogo Tenga alikuwa muungwana, sio hawa the rest takataka
Nenda kwa mama Samia umwambie kuwa yeye ni mjinga, hata kama ni mjinga kweli ndipo utajua kama ni tusi au ni utani. Au kamwambie hivyo CDFvyovyote lakini kwa comment hii Manara alikuwa sawa
Ndio hapo sasa[emoji1787][emoji23]Kwahiyo TFF imekwenda kumstaki Manara TFF?
Kangaroo court.
Mkuu hao TFF na statement yao ni one side of story, na always story ina two sides!,ningependa tutumie mahakama zaidi ili haki ya kweli ipatikane,Tanzania sio police stateUmesoma hiyo statement ya TFF? ukiisoma vizuri utagundua unaweza ukawa na fact lakini haitasaidia Manara kuchomoka labda GSM wakaongee kikubwa na bwana Karia/ TFF
Alijiona hawezi kuguswa kwa lolote.Alijitetea mbele ya kamati kua alitumia sigara haikua akili yake View attachment 2298761