TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

Ukisikia ulofa ndiyo huo. Kumbe ninyi mlimjua kuwa ana mdomo mchafu lakini bado mkampokea tena kwa mbwembwe mtu aliyewakashifu, eti kuwakoga Simba...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Magufuli
 
Manara ni limbukeni, anadhani kila atakachofanya ataaminiwa zaidi na mashabiki wa utopolo kumbe anajitafutia balaa, amekuwa mropokaji mjinga asiyetumia akili kabisa.

Sasa kama TFF walimfungia Shafii Dauda kwa kosa dogo kama lile, huyu Manara wasipomfungia zaidi ya miaka saba nitaamini TFF wanatumiwa na GSM, na Shafii walimuonea.
Alivyokua Simba hakua limbukeni unafki ni tatizo kubwa sana kwa watanzania
 
Yaani waliofungua hilo shauri ndio hao hao wenye maamuzi, mbaya zaidi Boss wa hiyo taasisi ambaye ndiye msimamizi mkuu wa hiyo taasisi ndiye aliyezinguliwa! Ngoja tucheki hii movie
 
Hivi Mwakalebela alipigwa ban ya mvua ngapi vile kabla ya kusamehewa?
 
Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Umesoma hiyo statement ya TFF? ukiisoma vizuri utagundua unaweza ukawa na fact lakini haitasaidia Manara kuchomoka labda GSM wakaongee kikubwa na bwana Karia/ TFF
 
Yaani kila kiongozi wa shirikisho la mpira Tanzania hutaka kuabudiwa kweli kweli, kinyume chake atakula kichwa chako.

Ni afadhali kidogo Tenga alikuwa muungwana, sio hawa the rest takataka
Sio kiongozi wa mpira tu, hata baba yako atataka umuabudu hakuna namna
 
M
Umesoma hiyo statement ya TFF? ukiisoma vizuri utagundua unaweza ukawa na fact lakini haitasaidia Manara kuchomoka labda GSM wakaongee kikubwa na bwana Karia/ TFF
Mkuu hao TFF na statement yao ni one side of story, na always story ina two sides!,ningependa tutumie mahakama zaidi ili haki ya kweli ipatikane,Tanzania sio police state
 
Alijitetea mbele ya kamati kua alitumia sigara haikua akili yake
20220721_152525.jpg
 
Back
Top Bottom