TFF yakiri kuwa Waamuzi wanadai pesa zao. Yasema wadhamini wanatoa pesa ndogo za malipo

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Shirikisho la Soka Tanzania TFF lakiri kudaiwa na waamuzi, lasema fedha inayohitajika kuwalipa waamuzi hao kwa msimu mmoja ni zaidi ya shilingi bilioni moja wakati fedha wanayoipata kutoka kwa wadhamini kwaajili ya malipo hayo ni takriban shilingi milioni 400

Your browser is not able to display this video.


My take:
Nilijua kuna kitu nyuma ya pazia

Baada ya Rais kukana niliamka na post Je waamuzi wanalipwaa yanayoendelea haya......

Namshukuru Kidau kwa kuweka wazi jana kweli wanadai pesa ndefu tu. Mkumbuke nao n binadamu wanafamilia msifikiri wanayifanya wanataka na watoto waende choo kikubwa

Solution ishajulikana sasa TFF walipe madeni ya waamuzi
 
Sasa wanawalaumu wa nini kumbe wanajua kinachoendelea
 
Sasa wanawalaumu wa nini kumbe wanajua kinachoendelea
Yaani usipolipwa ndio ununuliwe na kuachia? Halafu ni timu au klabu moja tu iliyajua hayo na kuamua kuwafadhili happy marefa??
 
UTOI MATUNZO KWA MKEO UNAPIGAJE KELELE UMETOM......A
TULIA SINDANO IINGIEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…