TFF yamfungia Shaffih Dauda kujihusisha na soka miaka mitano, mwingine afungiwa MAISHA

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imetangaza kumfungia Shaffih Dauda kujihusisha na soka ndani na nje ya Tanzania kwa muda wa miaka mitano.

Dauda ambaye ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF amefungiwa kwa kwenda kinyume na Kanuni ya Maadili pamoja na Kanuni za TFF akidaiwa kutoa taarifa za uwongo na kuchochea umma kupitia page yake ya Instagram.



 
Kwa hiyo hawaruhusiwi hata kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii au kuendelea kuwatumikia waajili wao ktk tasnia ya michezo?
 
Kwa hiyo hawaruhusiwi hata kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii au kuendelea kuwatumikia waajili wao ktk tasnia ya michezo?
Kutokujihusisha maana yake naachane na soka katika aspect Zote, sio uchambuzi tu hata kutoa taarifa yoyote inayohusu mpira ndani na nje ya Nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…