TFF yamfungia Shaffih Dauda kujihusisha na soka miaka mitano, mwingine afungiwa MAISHA

TFF yamfungia Shaffih Dauda kujihusisha na soka miaka mitano, mwingine afungiwa MAISHA

Akikata rufaa anashinda hii kesi..!

Anashindaje sasa hiyo rufaa na wakati amekiri mwenyewe kosa lake, huku akijitetea kwa kisingizio dhaifu! Mimi nadhani ungemtakia tu maisha mema nje ya soka.
 
"wale wanajua nini! Mimi ndio rais wa mpira nchi hii. Umeanza maswali yako ya uzushi, nakushauri wewe ndio uende shule!"

Nimekakumbuka haka ka-jingle sijui clip ka efm sport HQ.
 
Dauda ana ujinga mwingi sana hasa anapochanganya masuala ya soka na interest zake binafsi.

Ni mtu anayefanya personal attacks wakati fulani ili akidhi tamaa zake za ubinafsi.

Adhabu hiyo ni sahihi
Unashangilia mwenzio kufungiwa kazi inayomuendeshea maisha for five years, yaani wewe ukizeeka lazima utakuwa kigagula tuu.
 
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imetangaza kumfungia Shaffih Dauda kujihusisha na soka ndani na nje ya Tanzania kwa muda wa miaka mitano...
Mchambuzi wa mchongo amekula ban ya miaka mitano na faini juu hii itakuwa fundisho kwa wachambuzi wengine wa mchongo kama kotinyo
 
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imetangaza kumfungia Shaffih Dauda kujihusisha na soka ndani na nje ya Tanzania kwa muda wa miaka mitano...
Tuinasubiri ,uamuzi dhidi ya Haji Manara kutokana na matamshi aliyoyatoa kabla ya mechi ya ASEC na Simba...natumai yeye atafungiwa milele manake nikisema maisha naona kama haitoshi....
 
Tuinasubiri ,uamuzi dhidi ya Haji Manara kutokana na matamshi aliyoyatoa kabla ya mechi ya ASEC na Simba...natumai yeye atafungiwa milele manake nikisema maisha naona kama haitoshi....
Mkuu kwani alisemaje?[emoji16]
 
Izi tabia za kufungia watu Kwa miaka mingi au maisha ni tabia za ki dikteta na zakishamba sio tabia za kufumbia macho. Maana yake watu mkitofautiana misimamo mna muondoa mtu, ivyo ni vitisho. Serikali iingilie kati.
 
Anashindaje sasa hiyo rufaa na wakati amekiri mwenyewe kosa lake, huku akijitetea kwa kisingizio dhaifu! Mimi nadhani ungemtakia tu maisha mema nje ya soka.
Mkuu kama vile hii nchi huijui,, watamfungulia tu ni Jambo la muda tu
 
Iyo adhabu ni kubwa sana,tatizo viongozi wa TFF wengi ni chumia tumbo, hakuna kiongozi apo mwenye maono mazuri ya mpira wetu.wengi wao ni wapigaji na ukionekana unawafuatilia sana au kuwakosoa kiasi kwamba wanaumbuka, au unawabumbilua kitaa basi utapigwa figisu hadi kufungiwa.
 
Hizi adhabu zimekaa kukomoa zaidi wala sio kujenge.! TFF ni janga la soka katika nchi yetu
 
TFF [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Dauda Kutoa Maoni Yake Kuhusu Mikataba Ya GSM anakula Miaka 5? Hivi hii ni Akili Kweli?
 
Wanao Uliza Shaffii Alifanya nini?

Siku Moja Kabla ya GSM kujiondoa Kwenye Kudhamini Ligi, Shafii Alichapisha Andiko Ambalo lilitaka TFF kuwa wa wazi na wa kweli katika Mkataba Walio ingia na GSM na Wasipo Kuwa makini Wanaweza kupelekea Mkataba kuvunjwa.

Shafii alisema TFF sio Mali Binafsi bali ni Mali Ya Umma. So TFF wakasema Shafii anafanya Uchochezi kuhusu Mkataba Na GSM. Wakamfungia Lakini GSM siku moja Mbele akajitoa kwa kile kile alichosema Shafii.

Sasa TFF SIJUI Akili yao Inawaza Wapi
 
Wanao Uliza Shaffii Alifanya nini?

Siku Moja Kabla ya GSM kujiondoa Kwenye Kudhamini Ligi, Shafii Alichapisha Andiko Ambalo lilitaka TFF kuwa wa wazi na wa kweli katika Mkataba Walio ingia na GSM na Wasipo Kuwa makini Wanaweza kupelekea Mkataba kuvunjwa.

Shafii alisema TFF sio Mali Binafsi bali ni Mali Ya Umma. So TFF wakasema Shafii anafanya Uchochezi kuhusu Mkataba Na GSM. Wakamfungia Lakini GSM siku moja Mbele akajitoa kwa kile kile alichosema Shafii.

Sasa TFF SIJUI Akili yao Inawaza Wapi
Chapisho n hilo
20220216_222312.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom