Sir Lindege
Member
- Sep 10, 2013
- 35
- 181
Breaking News: Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemkuta na hatia ya utovu wa nidhamu aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga anayekipiga Morocco, Simon Msuva huku ikiwasamehe Obrey Chirwa na Deus Kaseke.
