Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
unajua kanuni za fifa zinasemaje wanasiasa kuingilia soka?.ndo maana kilasiku Yanga wakilalamika wanasema tunaenda kupeleka malalamiko kwa Rais,lakini hawakubaliwi kupeleka kwasababu ilo ni kosa na adhabu yake ni kubwa Sana.Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu