TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

Wamekosea Kwa Hersi Kushitakiwa personally badala ya Kuishitaki Taasisi Ya Yanga Ambayo Hyo Taasisi ina Bodi ya Wadhamini.
.
Hawa Tff Kama Akili Hawana
.
Hersi ametambuliwa kama Rais Wa Yanga so Maamuzi Yoyote anayoyafanya Hersi anakuwa under capacity ya Rais Wa Yanga na Sio Yeye Personally.
.
Maana yake Ni kwamba ilitakiwa ishitakiwe Board of Trustees ya Yanga na Sio Hersi Kwa Majina Yake.
.
Hersi Hajafanya Makosa Bali Taasisi inayoitwa Yanga ndio imefanya Makosa.
.
Hyo Secretariat ya Tff itabidi ithibitishe bila kuacha shaka Kwamba Ni lini Hersi amemuita Haji aje uwanjani Kuwa MC Wa Yanga Whether Kwa Barua au Kwa maneno.
.
Kuna wakati Lazima Uwe na akili ya Kufikri Vyema.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huo utetezi mtautoa kwenye kamati ya maadili
 
Kuwa Mc ni kushiriki soka? Yaani kuita "Abdalla njoo" unakuwa umeshiriki soka? Hizi sheria mmesomea chuo gani nyie. Hii kesi inashindwa kwenye Mahakama huru kabla ya saa 4 asubuhi. Hivi shabiki mmoja angemtukana Feitoto angeitwa na TFF? Au muuza karanga angemkanyaga mwenyekiti wa Chama cha soka mkoa wa Dar es salaam, ingekuwa soccer case?
Una kichaa wewe nenda kasome Disciplinary Framework za FIFA kuhusu mashabiki na adhahu zao
 
We nawe usijitoe ufahamu ukajivurugia sifa yako ya kutokuwa shabiki wa hizi timu

Ukishafungiwa kujihusisha na tukio lolote linalo husiana na mpira husuasani lile linalo husiana na TFF halafu ikatokea event ya mpira ukajitokeza kama MC

Hapo utakuwa umeshiriki, kwani kazi ya manara ni kucheza?

Si ndio hiyo hiyo kuongea, sasa alivyofungiwa mlitafsiri sheria kama kafungiwa kucheza?
Kuingia uwanjani sio kujihusisha na mpira ??

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: F9T
Hivi huyo hesi naye alishindwa vipi kujiridhisha kwanza kama analotaka kulifanya halikiuki adhabu inayotumikiwa?.

Au ni kiburi tu na kuamini kwenye jeuri ya pesa?...Kamati ya maadili simamieni weledi mtu asiwababishe na pesa zake.
Jina lake halisii ni Nesi Saidi na siyo Hesi Saidi
 
Soma barua ya Tff mkuu, mimi sijaandika barua, kama Yanga wangelikuwa hawajafanya kosa hiyo barua ya nini sasa.
Hoja tangu ni kwamba isingetosha kuandika Rais wa Yanga mpaka atajwe jina Hersi ?
Hersi akiwa likizo au anaugua Urais wa Yanga utasimama mpaka arudi ofisini?.
 
Mi nadhani akiitwa mahakamani Hersi ndio atataja hao wengine

Ukikutwa na maiti ya mtu aliyeuwawa lazima mamwela wakusombe bila kuangalia kama wamekuta na vidhibitisho au lah

Hilo swala la kujua ni wewe au ni nani litajulikana mahakamani kulingana na utetezi wako
Kesi inatakiwa ielekezwe Kwa CEO wa yanga sio Rais
Inayoshtakiwa ni secretariet ya yanga sio hers said

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hersi kulingana na hiyo barua iliyoandikwa kwake ametumika kama mdau wa mpira, lakini ndani yake ndie mwenye hicho cheo cha Urais.

Sasa kama hiyo barua aliyoandikiwa mwanzo ilikuwa na TFF aliona ina tatizo alitakiwa kuli address mapema, lakini kukaa kwake kimya maana yake alikubaliana na maelezo ya ile barua, ila ndio amekuja kuyavunja hiyo jana.

Sidhani kama TFF ni wajinga wakati wa kuandika ile barua hawakujua kama huyo "Mhandisi Said" ni Rais wa klabu ya Yanga SC.
TFF ni wajinga ndio maana walitoa adhabu ya kimhemko eti milioj 20 na miaka miwil so n wajinga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kuingia uwanjani sio kujihusisha na mpira ??

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Inategemea na tukio linalofanyika uwanjani

Mtu anaweza kodi uwanja kwa ajili ya kumvisha pete demu wake, haina maana manara akiingia awe considered kwa kuvunja sheria

Lakini hata kuingia tu uwanjani kwenye tukio la kimpira bado kuna mazingira yanayoweza kuonesha yuko sahihi kisheria

Mfano angeingia halafu akakaa jukwaani kwa mashabiki asingekuwa amevunja sheria

Kwenye ishu ya jana, yes nakubaliana kuwa kuingia uwanjani na kusherehesha ni kujihusisha na shughuli za kimpira ambazo alifungiwa
 
Mara zote tatizo huanzia mbali sana. Binafsi mimi nilianza kuona tatizo pale tu ambapo MANARA anaitwa kamati ya maadili na KARIA haitwi.

Tatizo lilianza pale, pamoja na URAIS WA TAASISI, KARIA alipaswa pia kuitwa na kamati ya maadili ili naye atoe maelezo yake na ikiwezekana wote waadhibiwe.

Tumeona hapa Sepp Blatter akila rungu la FIFA kwa kutumia kamati kama hiyo hiyo, why Karia asiitwe naye akahojiwa na mashahidi wakaitwa ili kujua shida ilikuwa ya nani??

Pia kwenye hukumu ya Manara kuna kosa kubwa lilieleezwa na mwenyekiti wa kamati kuwa MANARA amezuiliwa kushiriki au kijuhusisha na masuala ya mpira kwa miaka 2, na kwamba anaruhusiwa kwenda uwanjani kama shabiki, anaruhusiwa kupost chochote kama shabiki ila haruhusiwi kama KIONGOZI WA SOKA.

Haya swali kwanza mtu kwenda UWANJANI sio kujihusisha na MPIRA??

Je kama hukumu na maelezo ya mwenyekiti wa kamati kuwa amezuiliwa kama kiongozi, JE JANA MANARA ALIENDA PALE KAMA KIONGOZI AU MSHEREHESHAJI???

Mwisho kabisa, Mpira wetu unaendeshwa zaidi na ushabiki badala ya uhalisia.
Uhalisia ni upi??

1. Manara afungiwe kujihusisha na mpira kwa muda uliwekwa kutokana na kukaidi agizo hilo na kugombana na Rais wa Shirikisho.

2. Karia afungiwe kama kwa kutojihusisha na mpira kwa kugombana na Manara. Yes imetamkwa kugombana na sio kungomewa.

Kwenye tukio lile WALIGOMBANA na wote walikuika sheria, haijalishi wewe ni nani lkn usivuke mpaka wa uongozi wako.
Yaan hii ngoma Hadi ieleweke Sabu makosa yalishafanyika kwenye hukumu ya manara so yanga haiwez kuiheshimu tff

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sielewi hata umeandika wadudu gani hapo juu.

Hivi unaelewa maana ya "kufungiwa kujihusisha na shughuli za mpira"?

Kwani huo u MC haukuwa kwenye shughuli ya mpira?

Halafu wewe ndie unajiona "mwanasheria"!! hii nchi ina mambo sana...
Manara kuingia uwanjani sio kujihusisha na mpira tuanzie hapo ..??

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wakienda kwenye kamati wameumia. Dawa wasiende tu tuone watafanya nini?. Wakijitia hamnazo kuwafungia wasitii huo upambavu wao.
Tuone wataiteremsha daraja?
Una kichaa wewe. Unadhani kususia mashtaka ndo kinga ya kutohukumiwa?

Tena bora utii wito huenda adhabu ikawa ndogo ila kutotii ndo adhabu itakuwa kubwa zaidi.

Timu inaweza kushushwa daraja na tayari wadhamini kama sportpesa, gsm na wengineo wameweka mzigo wanataka faida.

Sasa hapo kinachoendelea ni hatari kubwa maana timu inaenda kupotea kabisa kwenye uso wa dunia.

Ukumbuke adhabu inapotolewa huwa nakala inapelekwa Caf na Fifa hivyo usipotii adhabu ya shirikisho la ndani basi adhabu ya Caf ama Fifa ni kubwa na mbaya mno.
 
This Is Simba
20220807_111848.jpg
20220807_111846.jpg
20220807_111838.jpg
20220807_111739.jpg
20220807_111737.jpg
 
Kesi inatakiwa ielekezwe Kwa CEO wa yanga sio Rais
Inayoshtakiwa ni secretariet ya yanga sio hers said

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Umekutwa na simu ya wizi ambayo mtumiaji halali wa hiyo simu aliuwawa

Polisi wame track simu wamekunasa, we unaanza kusema "ilitakiwa wamkamate aliyeniuzia simu na sio mimi maana sihusiki"

Ni kweli unaweza kuwa uhusiki ila hauweza ukaachwa lazima usombwe kyisaidia mahakama mpaka wampate muhusika.
 
Umejikaza kabisa na kuchamba juu usinuke mavi kwamba kujua kingereza ndio una akili?
Akili yako haina utofauti na manara rangi tu zimewatofautisha
Morison jana hakukosea kusema yanga wengi mmekimbia shule
Nyie wadada rudini insta huku jf sio sehemu yenu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom