sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kamati ya maadili ya (TFF) imefafanua vitu vifuatavyo kuhusu hukumu aliyopewa Haji Manara kutokujihusisha na soka kwa miaka miwili nje na ndani ya Nchi.
1. Anaruhusiwa kwenda viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
2. Adhabu haihusu mitandao yake ya kijamii. Anaruhusiwa kupost.
3. Amepewa siku (21) kukata rufaa.
1. Anaruhusiwa kwenda viwanjani kutazama michezo mbalimbali.
2. Adhabu haihusu mitandao yake ya kijamii. Anaruhusiwa kupost.
3. Amepewa siku (21) kukata rufaa.