Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #21
Dud! Kumbe mzee wangu sasa hivi wewe ni celebrity la nguvu!
mmh.. kakaangu, ucelebrity wa namna hii kutafutana ubaya tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dud! Kumbe mzee wangu sasa hivi wewe ni celebrity la nguvu!
Mkuu unaogopa usije ukatajwa kama mmoja wa mafisadi papa/nyagumi nini? Hahahaha. Maana sikuhizi ukimsema fisadi anaanza kuchambua na mali zako na wewe.
Ile FUSO ni yakwangu mimi member wa JF na MMM, vp kuna ubaya hapo?
ze utamu? maana nasikia unatajwa kama mmiliki wake.....It has come to my attention.. jamaa fulani walikosa cha kufanya na kufuatilia magari mawili ambayo moja (fuso) limeandikwa "mzee mwanakijiji" na jingine daladala ambalo limeweka anuani ya tovuti ile nyingine. Sijui kiliwagusa nini kiasi cha kufikiria ninayamiliki na hivyo niko katika kampeni ya kujitangaza..
So kwa vile sina utajiri huo, naomba mwenye picha ya magari hayo (namba ninazo) ili na mimi nijione kuwa kumbe cheche kweli zimepamba moto.
NB: Mkiwaona muwasilimie tu.. similiki hata mojawapo msije mkawachomekea bure..
Hahahaha. three questions:-
1. Kwanini jina la Mzee Mwanakijiji linafupishwa kama triple M yani MMM wakati mi naona M mbili tu.
2. Hivi kweli Mzee Mwanakijiji hajulikani kweli? Kwaio we believe and maybe trust one we can't see and don't know? Dangerous sio? But at the rate he is going itabidi ajiweke wazi tu because he has a following.
3. Akikataa Rostam hamtaki, mbona Mjj kakataa ku own hizo moto kaa hakuna anaebisha. Hehehe.
ze utamu? maana nasikia unatajwa kama mmiliki wake.....
Mkuu MM,
Sio Dar tu wanakokutambua hata huku Kyela kijiji cha Bujonde wanakufahamu na kukubaliana na hoja zako.Shughuli uliyofanya kipindi hiki cha takribani miezi 24 sio ndogo.Nakuomba usije kutoa sura yako hii Tanzanian mafia inakutafuta kwa udi na uvumba baki hivyohivyo mpaka hali itakapokuwa muafaka.
Infact you ur a household name in Kyela and TZ at large!
Mwanakijiji bana! Ilimradi tu........
It has come to my attention.. jamaa fulani walikosa cha kufanya na kufuatilia magari mawili ambayo moja (fuso) limeandikwa "mzee mwanakijiji" na jingine daladala ambalo limeweka anuani ya tovuti ile nyingine. Sijui kiliwagusa nini kiasi cha kufikiria ninayamiliki na hivyo niko katika kampeni ya kujitangaza..
So kwa vile sina utajiri huo, naomba mwenye picha ya magari hayo (namba ninazo) ili na mimi nijione kuwa kumbe cheche kweli zimepamba moto.
NB: Mkiwaona muwasilimie tu.. similiki hata mojawapo msije mkawachomekea bure..
Mbona Ujiko!Sijui lini mtu ataona jina langu la MADELA WA-MADILU linafaa kuwa jina la daladala?Itabidi tuongee ili unipe hiyo janja ulotumia mpaka umekuwa Femasi kiasi hicho.Du! Ku&^%$#&@ Wa allah!
hii ya kuandika majina ya wana JF inakera sometme......kuna shori nilikutana nae kachora tatoo ya jina la Yo Yo kifuani......nili mind sana
Najua huwezi kuamini na alikuwa shori mkali kweli kweli.....kitu ambacho nilipomuuliza aliskuwa anaporomosha maflag kwa Yo Yo utafikiri anamjua.....naogopa kusema mengi alinijibu maana nahisi atakuwa anatembelea sana JF alipotoa design ya tatoo yake.....Ahahahahahaaa...acha fiksi wewe. Jinsi nikujuavyo usingemwachia huyo shori...ahahahahahahahahaa.....achore jina lako wewe Soja Boi kwa minajili ipi...ahahahahahahahaa
Najua huwezi kuamini na alikuwa shori mkali kweli kweli.....kitu ambacho nilipomuuliza aliskuwa anaporomosha maflag kwa Yo Yo utafikiri anamjua.....naogopa kusema mengi alinijibu maana nahisi atakuwa anatembelea sana JF alipotoa design ya tatoo yake.....
Najua huwezi kuamini na alikuwa shori mkali kweli kweli.....kitu ambacho nilipomuuliza aliskuwa anaporomosha maflag kwa Yo Yo utafikiri anamjua.....naogopa kusema mengi alinijibu maana nahisi atakuwa anatembelea sana JF alipotoa design ya tatoo yake.....
Labda kaandika kwa sababu anampenda Yo-Yo Ma au Queen Yo-Yo...
kwikwikwikwikwikwi ....aisee hii JF lazima itakuja kulaumiwa kama watu wanatoa majina ya member na kuwapa watoto wao.....huyo ngabu jr lolOkay....mimi nilibloo pale sista mmoja alipompa jina la Ngabu newborn wake....I was honored, for real
mkuu uzuri nilimuuliza maana ya tatoo yake jibu lake ndio maana nili mind sana...sisemi mengi lazima atakuwa anatembelea JFLabda kaandika kwa sababu anampenda Yo-Yo Ma au Queen Yo-Yo...
noo huyu shori niekutana nae nahisi anatembelea JF sababu ya tattoo yake ni kaniambia kaitoa JF...Au Yo Yo yule rapper wa Calli....Rapper Yo-Yo: 'Memba Her?! | TMZ.com
Naona akina Nyani mmeniacha kwenye Tope chafu na Rostam Aziz.Shori ndo nini vile?Hii kubeba sana maboksi kichwani ina punguza nywele na uwezo wa kutambua msamiati mpya wa kiswahili.
hehehehii ya kuandika majina ya wana JF inakera sometme......kuna shori nilikutana nae kachora tatoo ya jina la Yo Yo kifuani......nili mind sana