TGIF: Fuso na daladala "yangu" DAR


hehehehe Yo Yo hii kamba kwa nini hukunitumia mpira huo?
 
hii ya kuandika majina ya wana JF inakera sometme......kuna shori nilikutana nae kachora tatoo ya jina la Yo Yo kifuani......nili mind sana

Shekhe kifuani ulikuwa unatafuta nini ? Wewe nasikia huwa unajiexpress sana kule kwenye line ya tiGo?
 

M. Mwanakijiji,
Kama umefahamishwa kuhusu route ya basi ama fuso "lako" basi nielekeze ili nipige picha. Nasema hivi kwa sababu kuna route kibao sana, hivyo si rahisi kujua uanzie wapi kusaka daladala husika.
Just a tip and the photos will posted the same day.
Regardz
Idimi
 
Mazee nataka kuwekeza na mimi, naomba kibali chako nitumie jina lako, kwenye Restaunt nitakayo anzisha kule Nyamswa nataka iita Mzee Mwanakijiji Restaurant, na chai Maharagwe itakayokuwa inatoka Geita kuja Mwanza niite KLHnews Bus services....nadhani Traffic police wataniheshimu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…