Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Kabla ya kupita kote huko umejiuliza ni wakati gani walianza kutafutwa na wakati gani waliingia nchini?
Umejiuliza ni kwanini Interpol?
Wewe kama umefika mahali pa 'kukubali tu' basi hongera kubali kivyako na hapo ulipo umefika kivyako jaujafika na mtu mpaka useme 'mmefika mahali mkubali tu'.
Hatubezi uwezo wa Polliso wetu katika vitu ambavyo wana uwezo mavyo, ila isiwe sababu ya kupotosha na kuwafanya watu watambue kuwa kuna mifumo hufanya kazi beyond hapo na namna hata wao wakihisi vyombo vya ndani vinapindapinda jinsi gani wavifikie
 
Moja: Aliyechomwa moto kuna uhakika kwamba alikuwa hai ? (Issue kama hii sio mpya ishafanyika sana lakini wengi huwa wanachukuwa mwili mortually especially mwili wa Jane au John Doe hii inarahisisha kupunguza maswali ya fulani kapotea....

Mbili: hayo ya security naomba yawe kama alert hususan kwa sisi tunaopenda kubinafsisha kila kitu (hayo magereza ni private run); Kwahio hayo mambo yakija huku na watu kuleta miswada yao ili waendelee kupiga kwa kubinafisha magereza taomba tukumbushie hii kwenye reference ya why not to......
 

Source: trust me bro
 
No. Demu wake alichukua mwili mortuary, unaofanana na wa jamaa. Waka collaborate na some prisoners officials. Iyo ishu yao ni chain moja ndefu sana, hawakuwa wenyewe hadi wanafika bongo. Nasikia kuna wazito SA wamewafadhili pia.
Huyo jamaa ni fugitive,ana nini cha maana mpaka hao watu wazito wakubali kumtorosha na kumsafirisha? ana umuhimu gani haswa?
 
Interpol ni polisi hawahawa wa bongo babu
 
Mkuu Ile maiti iligundulika haijafariki kwa ajali ya moto Bali ni kupigwa na kitu kizito, Sasa maiti iliyopigwa na kitu kizito wamenunua wapi?
 
Hao ni majasusi wa dunia.

Mbaya kuua mtu ili wewe uokoke, mbaya zaidi mbele za Mungu pia.

All in all polisi wa tz wako vizuri, naogopa kusema CONGRATULATIONS.

Angesogea hapo kwa Uhuru asingekamatwa mpaka afe kweli kweli.
Wako vizuri kwa wageni ila kwa watanzania wangemtaka marehemu wa moto atoe ushahidi kuwa yeye siye Bester.
 
Maana yake polisi wa bongo ndiyo waliofanikisha ukamataji,maana Kuna ngulumbili hazitaki sifa ziende kwa polisi wa bongo
Kwa hiyo Interpol ndiyo waliompiga risasi Acquilina? Interpol mdiyo walimkamata mama Samia kipindi kile akiwa naibu Waziri? Interpol ndiyo wanaobambikia kesi watu? Interpol ndiyo wanakamatia hizi rushwa za barabarani?
Usifikiri kila askari unayemuona ukadhani ana access na interpol files
 
Mbona inasemekana iliingizwa maiti ya mtu ambaye alishafariki??
 
Ndani ya fuvu una ubongo au mazvuzi!?
 
Acha kushupaza shingo Mkuu,hakuna pahala popote pasipo na mafanikio bila failure.

Siyo kila Askari wa PT ni Interpol ndiyo inaeleweka hivyo,Interpol ni Kitengo kilichopo Kamisheni ya Utawala na Mafunzo ndani ya PT sasa kama Interpol wamefanikisha kuwakamata watuhumiwa kongole haziwahusu PT?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…