Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Sijui ikoje lakini nimeshasoma stori ya drug lord mmoja pia alikua anatafutwa huko marekani miaka hiyo then akaja kukamatiwa moshi bongo hii hii. Ingine niliskia stori tu vijiweni kuhusu mmarekani alieuwawa then simu yake ndio ikawaleta fbi mbaka iringa tz kumkamata muhusika wa tukio.
 
Sijui ikoje lakini nimeshasoma stori ya drug lord mmoja pia alikua anatafutwa huko marekani miaka hiyo then akaja kukamatiwa moshi bongo hii hii. Ingine niliskia stori tu vijiweni kuhusu mmarekani alieuwawa then simu yake ndio ikawaleta fbi mbaka iringa tz kumkamata muhusika wa tukio.
Weka randama
 
Ilikua rahisi kumkamata huyo Mchizi kwa sababu ya Demu wake, Demu ake alikua anaacha alama!

Huyo jamaa alikua ana Pesa, na ndo ambazo Demu alizitumia kumtoa Gerezani!

Sasa hapa Broemfontein, kasababisha Msala kwa Askari jela, 2 wameshakanatwa kwa kukutwa wanaendesha Magari ya bei mbaya tofauti na Mshahara wao!

Ndo hao walikua Zamu siku wanaruhusu Gari la kubeba Taka liingie mpaka Gerezani! (Ndo lililomtorosha Mtuhumiwa)

Wamempiga mtu Kiberiti, wakaunguza Selo, ili mtu mmoja hivi mharifu aweze kutoka.
 
Mkuu,SAPS ni takataka kabisaa,huwezi kuofananisha na @tanpol kwa namna yoyote,SAPS ni kitengo cha majizi tu,juzi hapo wamekamatwa wakihusishwa na utekaji wa magari ya kusafirisha fedha CIT,polisi wa South ni certified criminal,angalau bongo kuna polisi wanajali kidogo,ila sio hawa wa south
tuwape heko askari wetu
 
Sawa sawa....

N sasa wafaanye mchakato wa yule aliyekopa bank5 tz na kutokomea

Ova
Serekali ya South haina ujinga wa kukamata wahalifu wasio wahusu,watu kibao wanaibia Nchi zao na kwenda kuishi South bila kujificha,na wala Serekali ya South haina habari nao mradi Kodi zao zinaingia kwenye system ya mkaburuu!!
 
Serekali ya South haina ujinga wa kukamata wahalifu wasio wahusu,watu kibao wanaibia Nchi zao na kwenda kuishi South bila kujificha,na wala Serekali ya South haina habari nao mradi Kodi zao zinaingia kwenye system ya mkaburuu!!
Kwa sababu taasisi zao ziko corrupt

Ova
 
In short, amekua convict wa pili kuweza ku escape from maximum security prison in SA,na jinsi alivyo escape ni kama movie from Mars, kwanza tuthibitishe hili kuwa amekamatwa hapo A town
Huu udaku ukiambiwa utoe source yake utaanza mbwela mbwela hapa
 
Huu udaku ukiambiwa utoe source yake utaanza mbwela mbwela hapa
Acha upumbavu mkuu, udaku gani hapa nimeuandika?,source gani unaitaka?,let's me assume wewe ni mjinga ,ngoja nikutafunie maana middle class ninyi mmezoea kutafuniwa, mtu wa kwanza to escape from SA maximum prison ni raia wa Mozambique, Mase na kwa sasa ni marehemu, huyu alitoroka kwa kutokea dirishani baada ya kutengeneza kamba ya matambala na Bester amemfuatia huyu ametumia uchawi wa kizungu pesa, hope's umefahamu na next time try kushirikisha ubongo wako wenye elimu ya UPE
 
Majeshi yetu hapa TZ yanafanyakazi nzuri na kubwa sana ila kuna wajinga fulani hapa TZ huwa wanayabeza sana. Sasa wasikilize SA wanavyowasifia.
Ni Wanyama kwa Watanzania wenzao
 
Back
Top Bottom