Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

The police minister said a team will be dispatched to Tanzania on Sunday to process the fugitives' return to South Africa.
Cele said it was not yet clear what their movements had been up until they were apprehended on Friday night, “but what is certain is that their method of entering Tanzania was illegal. There is not a single stamp on the passports that they had when they were apprehended. They were 10km away from Kenya when they were arrested and it looks like they were heading for the next country.”

Yaani watu wanaingia Tanzania kiholela kiasi hiki, jambazi linaweza Kwenda hadi Ikulu na msijuwe limeingiaje. There is not a Single Stamp!!!
Waliingia na full documents ila walidanganya details, yaan walikuja na majina tofauti kwenye Passport zao. Sio kwamba wameingia bila passport kabisa kiongozi.
 
Hii ni mbaya sana yaani unaratibu mauji ya mtu asiye na Hatia Kwa kuchoma gereza Ili tuu wewe utoroke gerezani.

Kuna mashaka sana na security appatus za Afrika Kusini.

Reference: Thabo Bester and Spouse Dr Nandipha Magadugula.

Kuna gereza limechomwa huko? Maana sidhani kama kuna gereza limechomwa, ila mtu ndani ya cell kachomwa
 
Hii ni mbaya sana yaani unaratibu mauji ya mtu asiye na Hatia Kwa kuchoma gereza Ili tuu wewe utoroke gerezani.

Kuna mashaka sana na security appatus za Afrika Kusini.

Reference: Thabo Bester and Spouse Dr Nandipha Magadugula.
No. Demu wake alichukua mwili mortuary, unaofanana na wa jamaa. Waka collaborate na some prisoners officials. Iyo ishu yao ni chain moja ndefu sana, hawakuwa wenyewe hadi wanafika bongo. Nasikia kuna wazito SA wamewafadhili pia.
 
Call a spade a spade....ni interpol bwana.Watu wamepigwa risasi mchana kweupe mbele ya CCTV camera mpaka leo hii hao POLICE wetu wapo wapi??
Haujajibu swali hata moja, bali umekimbilia kuandika mambo ambayo yapo nje ya hoja tunayojadili.

Swala la mtu kupigwa risasi mchana kweupe afu mtu ambae anatakiwa akamatwe na kuhojiwa anafichwa na kutoroshwa na mshambuliwaji haliendani na mada iliyopo.

Hata Omary Bashiru alikuwa anatafutwa na hao interpol, lkn bado alikuwa akiendelea kuzurura tu bila kukamatwa na hao interpol wako mpaka siku vijana wake mwenyewe walipoamua kumtoa katika kiti chake kupitia sheria zao wenyewe na sio hao interpol wako.
 
na
Hii ni mbaya sana yaani unaratibu mauji ya mtu asiye na Hatia Kwa kuchoma gereza Ili tuu wewe utoroke gerezani.

Kuna mashaka sana na security appatus za Afrika Kusini.

Reference: Thabo Bester and Spouse Dr Nandipha Magadugula.
Naona unapotosha au hukuielewa taarifa. Ninachojua ni kwamba, binti alifanya mchongo wa kupata maiti kutoka mortuary na kufanikisha mpango wa kuichoma ili kufake kifo cha mpenzi wake.
 
Hiyo ni kazi ya Interpol, ndiyo wanaotoa descriptions na ndiyo wanao ongoza msako lakini arresting hufanywa na askari wa nchi husika (aliyokamatiwa) hata taarifa hutolewa na nchi ambapo mjarifu amekamatiwa.
Wakati mwingine inaweza isiwe interpol lakini ikawa ni joint mission
Kuzunguka kote huko kuna haja gani kusema tu Hongera Polisi wa Tanzania? Interpol ni Taasisi tu ya Kimataifa ambapo Watendaji ni hawa hawa Polisi wetu wa Tanzania au unadhani Interpol ni kitu nje ya PT?
 
na

Naona unapotosha au hukuielewa taarifa. Ninachojua ni kwamba, binti alifanya mchongo wa kupata maiti kutoka mortuary na kufanikisha mpango wa kuichoma ili kufake kifo cha mpenzi wake.
Kwa nini uchome maiti?
 
Kwani ukiambiwa Interpol haraka haraka kichwani unahisi ni kitu gani?

Polisi gani wa Tanzania hawa wanaoiba madini na kuua raia. Acha zako.
Kuzunguka kote huko kuna haja gani kusema tu Hongera Polisi wa Tanzania? Interpol ni Taasisi tu ya Kimataifa ambapo Watendaji ni hawa hawa Polisi wetu wa Tanzania au unadhani Interpol ni kitu nje ya PT?

Hakuna cha hongera. Wameshindwa kumpata azory na saanane. Hatabkukamata wahusika wa shambukizi la Tundu Lissu.
 
Polisi gani wa Tanzania hawa wanaoiba madini na kuua raia. Acha zako.


Hakuna cha hongera. Wameshindwa kumpata azory na saanane. Hatabkukamata wahusika wa shambukizi la Tundu Lissu.
Inasikitisha sana,ni uhuru wako wa maoni lakini.

Hebu tuache kuwakatisha tamaa wapiganaji wetu wanaopambana usiku na mchana.

Nionyeshe ni Taasisi gani Duniani isiyo na changamoto.
 
... SA walifuta adhabu ya kunyonga adhabu pekee aliyostahili Bester! Angekatiwa hiyo adhabu na ikatekelezwa inavyopaswa bila figisu shida zote hizi za kuhangaika naye zingeshasahaulika zamani. Adhabu ya kunyonga bado ina umuhimu mkubwa duniani.

Ni moja ya watu ambao napinga hii adhabu. But kuna watu kwenye jamii lazima waondolewe once and for all ili kuleta utulivu
 
Hao ni majasusi wa dunia.

Mbaya kuua mtu ili wewe uokoke, mbaya zaidi mbele za Mungu pia.

All in all polisi wa tz wako vizuri, naogopa kusema CONGRATULATIONS.

Angesogea hapo kwa Uhuru asingekamatwa mpaka afe kweli kweli.
Ndio alikokuwa anaelekea
 
Hii ni mbaya sana yaani unaratibu mauji ya mtu asiye na Hatia Kwa kuchoma gereza Ili tuu wewe utoroke gerezani.

Kuna mashaka sana na security appatus za Afrika Kusini.

Reference: Thabo Bester and Spouse Dr Nandipha Magadugula.

=======
Tanzania Police have confirmed the arrest of South African prison escapee Thabo Bester and his accomplice Dr. Nandipa Magudumana and one other person by the name of Zakaria Alberto.

In a short statement released by the Police Spokesperson David A Misime, Tanzania Police said they are finalizing, “other international and national procedures” for the case.

Thabo Bester, a serial rapist, scammer, and murderer was confirmed to have escaped Mangaung Prison in South Africa in March 2023 after a viral Twitter picture that showed him shopping. It was later learned that Bester had escaped prison in May 2022 in a ploy that involved fake suicide.

Prison cell where Bester was kept had caught fire only for his corpse to be found burnt beyond recognition. Bester was pronounced dead, only for the news to resurface on social media that he was living large with South African celebrity Doctor, Nandipa Magundumana.

Reports show it was a complex scheme that involved Dr Nandipa Magundumana who collected the burnt corpse from prison, claiming she was the wife of Thabo Bester.

Confirming the arrest of Thabo Bester, South Africa Minister of Justice and Correctional Services Ronald Lamola, says he is expecting to be in Tanzania on Sunday, April 09, 2023, to follow up on the case.

“We have confirmed with all relevant authorities in Tanzania which include the national Police in Tanzania and Interpol that fugitives have been processed in the Tanzania criminal justice system,” said Lamola in a press statement.
Na shisha wakavuta na picha wakapiga , kumbe walikuwa wanafuatiliwa
 
Hiyo ni kazi ya Interpol, ndiyo wanaotoa descriptions na ndiyo wanao ongoza msako lakini arresting hufanywa na askari wa nchi husika (aliyokamatiwa) hata taarifa hutolewa na nchi ambapo mjarifu amekamatiwa.
Wakati mwingine inaweza isiwe interpol lakini ikawa ni joint mission
Waliharibu walipoenda night club, shisha kwa sana , kumbe interpol wako kazini
 
Mm nikiwa Rais ntahakikisha natekeleza adhabu ya kifo, kwakweli ni muhimu sana. Yaan mtu auwe watu afu afungwe tu kifungo cha maisha, anakula na kulala bure wakati aliowaua wanaoza makaburini? Kwangu hapana, ni Utanyongwa au kupigwa Risasi.
Fair enough mkuu,kwa hili let's disagree, ndio raha ya mjadala hatuwezi kukubaliana kwa kila kitu, death sentence kwangu its a NO
 
Kuzunguka kote huko kuna haja gani kusema tu Hongera Polisi wa Tanzania? Interpol ni Taasisi tu ya Kimataifa ambapo Watendaji ni hawa hawa Polisi wetu wa Tanzania au unadhani Interpol ni kitu nje ya PT?
elewa wako ndiyo umeishia hapo? Au kuna mwingine tuusubiri unaelekea taratibu kichwani mwako?
 
Back
Top Bottom