Ni upuuzi Kwa DRC Congo kubagua section ya Raia wake eti Kwa madai kwamba wanazungumza Kinyarwanda hivyo sio Wakongomani wanatakiwa kuwa kicked out au kuuwawa.
Huu ni upuuzi wa Hali ya Juu kiasi kwamba Nchi jirani zikatae kuwasaidia unless kama kusaidia kwenyewe ni kulinda raia na kuiba Mali ya hao Wakongo wasio na akili.
Nyerere amewahi suluhisha huu mgogoro akawapa Elimu Kwa kutumia mfano wake lakini Bado hawataki .
Mandela amewahi suluhisha huu mgogoro akawapa Wakongo Elimu lakini Bado hawataki.
Sasa watu wa jamii hii kinachotakiwa na Umoja wa Mataifa Kuwaunga mkono M23 Ili Wachukue Eneo lote la Kivu kama Nchi huru na kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia Kwa sababu za viongozi wajinga wa Kongo.
Kwamba Tanzania tuwatimue Waha Kwa sababu wako Burundi,Tutimue Masai na Wajaluo.kwa sababu wako Kenya?
Kwamba South Africa iwatimue Waswana Kwa sababu Kuna Botswana au?
Ukweli ni kwamba mgogoro huu unaushabiki wa kijinga hasa kwa Watanzania ambao wamezoea ushabiki maandazi wa Yanga Vs Simba,CDM vs CCM,Pro- NATO Vs pro- Urusi na China nk
Huwezi bagua raia wa nchi y'ako ikiwa wao sio walio gawa mipaka miaka ya 1884/85 kisa tu ni tofauti na jamii ya walio wengi na mbaya zaidi wale vinara wa mauaji wa kimbari ya 1994 wamepewa hifadhi Congo na wanajeshi,alafu utegemee Rwanda ikae kimya na wakati hata Idd Amin tu wa hapo Uganda,aliamua kukiwasha baada ya kuona waasi wa serikali yake wapo Tanzania.
Ni muda wa Sisi waafrika kuacha kasumba za kipumbavu za kikabila ili kupata uugwaji mkono wa kujitwalia madaraka ni wakati wa kufanya mazungumzo ya kupata suluhu na sio matumizi ya bunduki.
Kwanini "raia" wasiokuwa na hatia ni hao "Banyamulenge" tu?
Kuna makabila mangapi huko Eastern Congo? Kwanini haki za kabila moja tu zilindwe? Mpaka wapewe nchi yao? Vipi kila kabila likidai nchi yake?
Nimemsikiliza Prof Limumba jana akitoa mtazamo wake kuhusu mgogoro huu naye kasema kitu kile kile na kumrefer nyerere kuwa watusi wa goma ni wacongo sio wanyarwanda
Nimemsikiliza Prof Limumba jana akitoa mtazamo wake kuhusu mgogoro huu naye kasema kitu kile kile na kumrefer nyerere kuwa watusi wa goma ni wacongo sio wanyarwanda
Kwanini "raia" wasiokuwa na hatia ni hao "Banyamulenge" tu?
Kuna makabila mangapi huko Eastern Congo? Kwanini haki za kabila moja tu zilindwe? Mpaka wapewe nchi yao? Vipi kila kabila likidai nchi yake?
Ukweli ni kwamba mgogoro huu unaushabiki wa kijinga hasa kwa Watanzania ambao wamezoea ushabiki maandazi wa Yanga Vs Simba,CDM vs CCM,Pro- NATO Vs pro- Urusi na China nk
Huwezi bagua raia wa nchi y'ako ikiwa wao sio walio gawa mipaka miaka ya 1884/85 kisa tu ni tofauti na jamii ya walio wengi na mbaya zaidi wale vinara wa mauaji wa kimbari ya 1994 wamepewa hifadhi Congo na wanajeshi,alafu utegemee Rwanda ikae kimya na wakati hata Idd Amin tu wa hapo Uganda,aliamua kukiwasha baada ya kuona waasi wa serikali yake wapo Tanzania.
Ni muda wa Sisi waafrika kuacha kasumba za kipumbavu za kikabila ili kupata uugwaji mkono wa kujitwalia madaraka ni wakati wa kufanya mazungumzo ya kupata suluhu na sio matumizi ya bunduki.
Hilo tatizo la kubaguliwa lipo sana toka miaka ya 50 + first genocide.na hao waasi wengi wanatumia kuleta machafuko huko huku wanabeba rasilimali.
Utashangaa mpk leo wanaongelea kwamba wanawafuatilia genocider.
Hapo utashangaa miaka 31 bado tu.