ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni upuuzi Kwa DRC Congo kubagua section ya Raia wake eti Kwa madai kwamba wanazungumza Kinyarwanda hivyo sio Wakongomani wanatakiwa kuwa kicked out au kuuwawa.
Huu ni upuuzi wa Hali ya Juu kiasi kwamba Nchi jirani zikatae kuwasaidia unless kama kusaidia kwenyewe ni kulinda raia na kuiba Mali ya hao Wakongo wasio na akili.
Nyerere amewahi suluhisha huu mgogoro akawapa Elimu Kwa kutumia mfano wake lakini Bado hawataki .
Mandela amewahi suluhisha huu mgogoro akawapa Wakongo Elimu lakini Bado hawataki.
Sasa watu wa jamii hii kinachotakiwa na Umoja wa Mataifa Kuwaunga mkono M23 Ili Wachukue Eneo lote la Kivu kama Nchi huru na kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia Kwa sababu za viongozi wajinga wa Kongo.
Kwamba Tanzania tuwatimue Waha Kwa sababu wako Burundi,Tutimue Masai na Wajaluo.kwa sababu wako Kenya?
Kwamba South Africa iwatimue Waswana Kwa sababu Kuna Botswana au?
Binafsi naunga mkono suluhisha la Nchi Mpya badala ya kwenda Kumtoa Tschisekedi Kinshasa Kwa sababu haitamaliza Vita wataviziana mda mwingine wapinduane tena Kwa vile Wakongo wengine walionyqwshwa sumu hawataridhika.
View: https://x.com/News24/status/1884950221907444114?t=-v8DMOfGyRjtW98a2YaH0Q&s=19
Huu ni upuuzi wa Hali ya Juu kiasi kwamba Nchi jirani zikatae kuwasaidia unless kama kusaidia kwenyewe ni kulinda raia na kuiba Mali ya hao Wakongo wasio na akili.
Nyerere amewahi suluhisha huu mgogoro akawapa Elimu Kwa kutumia mfano wake lakini Bado hawataki .
Mandela amewahi suluhisha huu mgogoro akawapa Wakongo Elimu lakini Bado hawataki.
Sasa watu wa jamii hii kinachotakiwa na Umoja wa Mataifa Kuwaunga mkono M23 Ili Wachukue Eneo lote la Kivu kama Nchi huru na kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia Kwa sababu za viongozi wajinga wa Kongo.
Kwamba Tanzania tuwatimue Waha Kwa sababu wako Burundi,Tutimue Masai na Wajaluo.kwa sababu wako Kenya?
Kwamba South Africa iwatimue Waswana Kwa sababu Kuna Botswana au?
Binafsi naunga mkono suluhisha la Nchi Mpya badala ya kwenda Kumtoa Tschisekedi Kinshasa Kwa sababu haitamaliza Vita wataviziana mda mwingine wapinduane tena Kwa vile Wakongo wengine walionyqwshwa sumu hawataridhika.
View: https://x.com/News24/status/1884950221907444114?t=-v8DMOfGyRjtW98a2YaH0Q&s=19