Thadei Ole Mushi: Wabunge wa CCM wanahitaji kufanya tathmini ya kina kuhusu 2025

Thadei Ole Mushi: Wabunge wa CCM wanahitaji kufanya tathmini ya kina kuhusu 2025

Umeongea vizuri kabisa,Mungu asaidie tukaone uchaguzi wa haki,na watu wa haki,siyo Siasa za kubebana kwa kutumia jeshi la polisi
Siasa za mabunduki kama Rwanda Rais Samia analenga kuzikomesha
 
Kanda ya ziwa hata rais aliyepo madarakani kwa sasa kupata kura ni mpaka akawaombe radhi......ni washamba kuongea lakini ni wajanja sana kivitendo na husimamia kile wanachokiamini hawayumbishwi.

Muunganiko wa CDM na mkuu wa nchi karibu kila jambo kwa sasa kumewapelekea mtihani mgumu sana kuufanya kwa uasahihi ndani ya miaka mitatu kuanizia 2021 hadi 2024. Wana mengi yanayowakera bila majibu stahiki
Mlisema hivyo hivyo siku ya uzinduki wa Mkutano wa Chadema. Wale wananchi wa Mwanz walichowadanya mpka leo hamjasahau.
 
Na ili kuiongezea nguvu CDM kwenye majimbo wawasamehe covid 19 warudi kwenye kundi na ndilo hitimisho la maridhiano la Samia na Mbowe kwa ajenda za Mwanzo kabla ya Katiba mpya. Kama mambo yote ya awamu ya tano yanapinduliwa kibabe na hili nalo libatilishwe ili siasa safi ikae safi. Pili siasa za CDM zipelekwe kisayansi kwa mfano ni makosa makubwa mno kumshambulia JPM muda wote bila kubalance.Hiyo kete CCM atakuja itumia kanda ya ziwa na kanda ya kati,kumsifu JPM kwa baadhi ya mambo. Hapa CDM awe makini sana vinginevyo watafika mahala wataishiwa hoja za msingi.
 
CT Scans Hospital zote za Mikoa Tanzania,
Kawasha umeme wa grid Kigoma na kuifungua Kwa Barabara,
Hakuna mtoto anaenda shule Kwa mafungu ya nyanya,
Maelfu ya miradi ya Maji Kila sehemu ikiwemo ujenzi wa bwawa la kidunda,
Kakamilisha miradi yote iliyomshinda Mwendazake,
Anajenga Bandari kubwa ya uvuvi pekee EAC Kilwa,anajenga Bandari kubwa kuliko zote ya MbambaBay Bay,
Veta Wilaya zote,
Maslahi ya Watumishi,
Anaboresha Kilimo na chini ya huo mpanga anawapa Vijana mashamba .

Kiufupi orodha ni ndefu tutajaza Seva Bure. View attachment 2539358View attachment 2539359View attachment 2539361View attachment 2539362View attachment 2539363View attachment 2539364View attachment 2539365
Haya ndio mambo makubwa? Hivi ni vitu vilivokua vinachukuliwa kama formalities tu wakati wa mtangulizi wake wala vilikua havitajwi vikifanyika sababu mambo makubwa ya kweli yalifanyika. Kununua CT scan ndio mambo makubwa ya samia? Kweli watanzania tulisharogwa
 
Sioni wapiga kura wakijitokeza kwa wingi, atakayeshinda atashinda kwa idadi ndogo sana ya kura, maana wananchi wameshapuuza siasa, baada ya Magufuli kuondoa maana ya uchaguzi.
 
Na ili kuiongezea nguvu CDM kwenye majimbo wawasamehe covid 19 warudi kwenye kundi na ndilo hitimisho la maridhiano la Samia na Mbowe kwa ajenda za Mwanzo kabla ya Katiba mpya. Kama mambo yote ya awamu ya tano yanapinduliwa kibabe na hili nalo libatilishwe ili siasa safi ikae safi. Pili siasa za CDM zipelekwe kisayansi kwa mfano ni makosa makubwa mno kumshambulia JPM muda wote bila kubalance.Hiyo kete CCM atakuja itumia kanda ya ziwa na kanda ya kati,kumsifu JPM kwa baadhi ya mambo. Hapa CDM awe makini sana vinginevyo watafika mahala wataishiwa hoja za msingi.

Kama kuna kitu kitafanya CDM idharaulike ni kuwapokea au kuwasamehe hao wahuni wa Covid. Madhambi ya Magufuli yatasemwa ili kosa la kupata rais wa aina yake yasifanyike. Hata hivyo wananchi wengi wameshapuuza box la kura baada ya kunajisiwa na Magufuli.
 
Back
Top Bottom