Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hv hili tukio nilakigaidi ama silakigaidi ?!.....Hawa wa Thailand walitumika sana Iraq ile vita na marekani walikua wakilipwa dola 33 per hour, inawezekana ni laana ya dam za watu inaanza kumtafuna
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisa kaletwa gaidi ndio povu lnakutoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna gazeti au tovuti ya middle east yenye hii taarifa mpaka unatumia link ya makafiri?
Hv huyo jamaa nigaidi ama hana akili 2 !?...Idadi ya vifo imefikia 20. Jamaa bado anaendelea kuua.
Hilo sio tukio la kigaidi wewe au hujasoma story nzima alafu matukio ya kigaidi yanajulikana tu ndio maana unakuja hapa kujihami
Mbna umepanic kijana kwan mm si nime uliza tuHilo sio tukio la kigaidi wewe au hujasoma story nzima alafu matukio ya kigaidi yanajulikana tu ndio maana unakuja hapa kujihami
nimeshakujibu hapo kwa jinsi ulivyouliza[emoji23][emoji23][emoji23]Mbna umepanic kijana kwan mm si nime uliza tu
Halaf matukio yakigaidi hua yanajulikanaje ama gaidi hua anajitangaza wakat anauwa watu kama mm gaidi mm gaidi
Usipanic kijana jibu swali kma nlivyo uliza kama unaweza ama unatka kujibu kama huwez kaa kimya..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Jibu Ulilonipa Kwasababu Swali Langu Halikuanzia Hapo Umedandia Gari Likiwa Kwenye Mwendonimeshakujibu hapo kwa jinsi ulivyouliza