Thamani (Value) ya Kombe la CAF Champion v/s CAF Confederation

Thamani (Value) ya Kombe la CAF Champion v/s CAF Confederation

Unatumia Simba ya Last season kufananisha na Yanga ya mwaka huu?
Kwanini usizungumzie Simba ya mwaka huu?
Mafanikio huenda kwa msimu husika, if ni ya mwaka jana, kwa team zote yatumike matokeo ya mwaka Jana.
Nonsense
 
Reference ya Wikipedia? Hiyo Hata wewe Unaweza kuingia hapo na ku edit chochote unachotaka. Wikipedia sio reliable source, Achana nayo
 
Reference ya Wikipedia? Hiyo Hata wewe Unaweza kuingia hapo na ku edit chochote unachotaka. Wikipedia sio reliable source, Achana nayo
Sawa,
Tuletee wewe basi reliable source yako inasemaje kwenye hii issue.
 
Champions league walikuwa Simba(Kolo fc) na wameshatolewa..
Demu anakuuliza swali,unashindwa kujibu kama mwanaume unajibu kama upinde..kakuuliza wametoka,??ilifaa ujibu ndio wametoka au bado wapo?..next time man up,usiwe kama upinde,unajiuma uma sana.
 
Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.

Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.

Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.

Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.

Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Wamekuzidi nini akati walkuwa loser cup,uko na ujinga kidogo.
 
Demu anakuuliza swali,unashindwa kujibu kama mwanaume unajibu kama upinde..kakuuliza wametoka,??ilifaa ujibu ndio wametoka au bado wapo?..next time man up,usiwe kama upinde,unajiuma uma sana.
Next time uki-quote watu tumia akili.
 
Hizi ni akili za utopolo aliechangamka
Simba tumefanya makosa
Mechi ya Dsm tulitakiwa kuimaliza mapema, kocha akawaelekeza wachezaji wacheleweshe mipira ikitoka.
Mpira unatoka unaona Kapombe anatembea kama hataki, sekunde zinakatika...

Kocha akachelewa fanya sub, alipofanya akaweka mabeki

Tumeenda Moroco mchezo ukawa huo huo
Wachezaji hawajitumi kushambulia wao wanazuia tu huku wakijua fika ni wabovu kwenye penati.

Afu eti tumetoka kiume, huo ni upumbavu na wenda wazimu
 
IMG_20230429_200940.jpg
IMG_20230429_110601.jpg
 
Back
Top Bottom