Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Wakati Serikali yetu ikiwa busy kwenye uzinduzi wa filamu yetu huko Marekani.
Thamani ya Chai yetu inazidi kuporomoka kwenye soko la kimataifa.
Katika mnada uliofanyika Mombasa nchini Kenya hivi majuzi Chai ya Rwanda ili endelea kufanya vyema kwa kuuzwa kwa dola 2.83 kwa kilo moja ilhali ile ya Tanzania ikiuzwa kwa dola 1.51 kwa kilo.
Ipo haja kwa serikali kuhakikisha tunapeleka katika soko la kimataifa chai bora zaidi itayotuwezesha kupata fedha nyingi zaidi kuliko kupoteza muda kwenye mambo ya kufikirika.
www.thecitizen.co.tz
Thamani ya Chai yetu inazidi kuporomoka kwenye soko la kimataifa.
Katika mnada uliofanyika Mombasa nchini Kenya hivi majuzi Chai ya Rwanda ili endelea kufanya vyema kwa kuuzwa kwa dola 2.83 kwa kilo moja ilhali ile ya Tanzania ikiuzwa kwa dola 1.51 kwa kilo.
Ipo haja kwa serikali kuhakikisha tunapeleka katika soko la kimataifa chai bora zaidi itayotuwezesha kupata fedha nyingi zaidi kuliko kupoteza muda kwenye mambo ya kufikirika.
Rwanda tea continues to outprice Tanzania's at Mombasa auction
Rwanda’s tea continues to fetch premium prices at the Mombasa auction, outdoing price offers from other regional countries including Tanzania as buyers remain choosy on quality.