Thamani ya kipa wa Simba mmoroko Ayub ni sawa na Thamani ya kipa wa Yanga Diara wakiwa saba

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Ukiangalia kwenye market value Diara thamani yake Ni 400m (Dola 185000) za kibongo lakini ya Ayoub Ni billion tatu.(Dola m. 1.3).

Je ubora wa Ayoub Ni mkubwa mno Mara zaidi ya Saba ya Diara?
 

Attachments

  • Screenshot_20231008-093224.png
    95.4 KB · Views: 10
  • Screenshot_20231003-163033.png
    82.7 KB · Views: 8
Vitu vingine nikutaka kutuonesha ulivyo mpumbavu... Kwahiyo Simba wamemchukua huyo Ayubu kwa 1+B?, Hebu punguzeni uzwazwa asee!.
 
Ila kuna watu mnapenda sana kujidhalilisha humu jukwaani.

Sijui ni kwa sababu wengi wetu tunatumia majina ya bandia!!! Au sijui ni kutokana na ile kauli ya Ismail Aden Rage!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…