Thamani ya Kiswahili: Watu maarufu duniani wenye majina ya Kiswahili

Wakenya wanaigombea huku kuna mtu anaiita haina tija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maajabu ya JF: kuna jina nahisi ni mwanamme au ndiyo waleeee na yeye yumo humu JF eti anaejiita kama huyo binti kaongeza r moja kuzuga anaejiita Zurri.

Majanga!

Tukienzi Kiswahili.
Acha kumuandama muislamu mwenzio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Kidada Jones na Rashida Jones.

Na wajapani pia hawapo nyuma kuna Kumamoto University,
Sasa sijui hili jina lina asili ya Kiswahili au coincidence tu na maneno/majina yao ya kijapani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Movie; Don't be a menace

Pia kuna Mjerumani mmoja anaitwa Malaika Mihambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiswahili kimedokoa maneno mengi kwenye lugha nyingine za kibantu, kingereza, kihindu, kijapani nk,
na mengi kwenye kiarabu.
Kwahiyo maneno kama "kumamoto" ni maneno ya asili ya kijapani ambayo yamedokolewa kwenye kiswahili
Kuna Kidada Jones na Rashida Jones.

Na wajapani pia hawapo nyuma kuna Kumamoto University,
Sasa sijui hili jina lina asili ya Kiswahili au coincidence tu na maneno/majina yao ya kijapani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, hiyo ni coincidence tu kwa sababu hatujawahi kuwa na uhusiano wowote na Japani uliofanya hadi tukope maneno kutoka huko kwenye lugha yao

Kuna lugha chache sana ambazo tumekopa maneno huko mostly Kiarabu, Kiingereza, Kireno, Kijerumani, Kihindi, Kipersi na hiyo ni kutokana na uhusiano wa moja kwa moja na mataifa hayo

Sehemu ambazo utakuta maneno mengi ya kukopa ni kwenye Biashara, Utawala, Elimu na Tekinolojia na sio kwenye vitu kama ku*ma na moto ambavyo wabantu walivijua kwa miaka na mikaka kabla ya uhusiano na mataifa ya mbali
Kiswahili kimedokoa maneno mengi kwenye lugha nyingine za kibantu, kingereza, kihindu, kijapani nk,
na mengi kwenye kiarabu.
Kwahiyo maneno kama "kumamoto" ni maneno ya asili ya kijapani ambayo yamedokolewa kwenye kiswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi binafsi navutiwa zaidi na vibwagizo Kwenye nyimbo za wasanii wakubwa kama vile.
"Nakupenda pia nakutaka pia mpenzi wee"---Michael Jackson (Liberian girl )
"Jambo nipe sent moja" Lionel Richie (All night long)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wangu mengi ya hayo majina uliyoweka ni ya kiswahili ila yenye asili ya kiarabu (baadhi).
Majina ya kiswahili hasa ni kama Sikitu, Pombe, Sikujua, Lipumba, Jembe, Sikudhani e.t.c.
Umeacha majina kama Furaha, Faraja, Upendo, Tausi, Neema, Rehema, Maua, Zawadi, Zaituni na ukarukia Sikitu, Pombe na Sikudhani ili uoneshe negatively kwenye lugha ya kiswahili,

Basi ni wazi chuki ndio zimekufanya ukawa na mtazamo batili kuwa hayo majina ya kiswahili yana asili ya kiarabu kitu ambacho sio kweli.

1.TARAJI PENDA HENSON (Taraji Penda) kiswahili

2. SANAA LATHAN (Sanaa) Kiswahili

3. TALIB KWELI GREEN (Kweli) Kiswahili

4. ZURI HALL (Zuri) Kiswahili

5. AMANI ASKARI TOOMER (Amani Askari) Kiswahili

6. BLACK UHURU (Uhuru) Kiswahili

7. RAS JUA BARAKA (Jua Baraka) Kiswahili

8. AMIRI BARAKA (BARAKA) Kiswahili

9. REHEMA ELLIS (Rehema) Kiswahili

10. JAMES MTUME (Mtume) Kiswahili

11. MAULANA NDABEZITHA KARENGA (Maulana) Kiswahili

12. Hodari Sababu: (Hodari) Kiswahili


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ishu za muhimu zaidi za kufanya kuliko kupush Kiswahili.
 
Mi binafsi navutiwa zaidi na vibwagizo Kwenye nyimbo za wasanii wakubwa kama vile.
"Nakupenda pia nakutaka pia mpenzi wee"---Michael Jackson (Liberian girl )
"Jambo nipe sent moja" Lionel Richie (All night long)

Sent using Jamii Forums mobile app
We're going to party, KARAMU, fiesta forever.

SUKAH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…