Sultani Makenga
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 621
- 1,039
Kwani yeye haoni? Ni mtoto yule? Mbona anajidai kutengua wengine na kujaza vibaka wenye dharau kama zote akina Nape.Samia yeye mwenyewe ni tatizoSometimes simlaumu sana maana kazingirwa na panyabuku na nguchiro kila kona
Hizi tozo ni kwa ridhaa ya nani? Huu mkanda wa kufunga ni sisi tu? Unajua walamba asali hawa wanafuja vipi hazina ya nchi kupitia kupeana nyadhifa, fursa, posho, marupurupu, na mengi lukuki tusiyokuwa na ridhaa nayo?Hutaki kulipa tozo na Kodi halafu unataka maendeleo, kwa Taarifa yako ni kuwa mataifa unayooona yameendelea yalipitia njia hii tupitayo, walitozana Kodi kuzijenga nchi zao, walijifunga mikanda ili kuijenga kesho yao iliyo Bora
Njia ya kupata maendeleo siyo mteremko Wala Tambalale Wala mtelezo, Ni Kama dawa chungu ambayo ukimaliza kuinywa unapona, Sasa hatuwezi tukasema usinywe dawa kwa kuwa Ni chungu wakati tunajuwa hutapona, hii ndio dawa ya kuondoa umaskini, ndio dawa ya kuijenga nchi yetu ikapendeza na kuwa ya mfano
lazzima tujifunge mikanda, lazima tujibane kidogo, lazima tupunguze kidogo katika vipato vyetu ili kupeleka katika kuijenga Tanzania yetu tutakayo jivunia sote
Ccm wajanja wameshapima upepo 2025 hawatamsimamisha, wataleta mgombea mwingine, watafuta matozo upinzani Kwa sababu walikaa kimya watakosa kura za wananchiNgoja tusubiri tuone kama hiyo 2025 atafanikiwa kwenye hiyo dhamira yake.
Ila kwangu mimi niseme tu big No kwa huyu Bi Mkubwa. Siwezi kumpigia kura ya ndiyo.
Yaani ndugu yangu ukiona nchi inaishia kuwa na taifa la vijana wengi kuishia kuishia kuwa ' machawa na wengine eti kushinda siku nzima kujadili sijui 'madili', mara kujadili bongofleva, kubet na kufanya uchuuzi barabarani, au soga za Simba/Yanga ,badala ya kujadili, kuona na kupanga njia na mikakati sahihi ya leo na kesho ya maendeleo endelevu, kwa mustakabali wa Taifa lao, sasa kwa kweli matokeo yake ndio haya.utaona na safari bado ni ndefu aiseee........... kazi iendelee.
Kwa hiyo ukipata Katiba kama ya Kenya utakuwa umetatua matatizo yo
Hizi tozo ni kwa ridhaa ya nani? Huu mkanda wa kufunga ni sisi tu? Unajua walamba asali hawa wanafuja vipi hazina ya nchi kupitia kupeana nyadhifa, fursa, posho, marupurupu, na mengi lukuki tusiyokuwa na ridhaa nayo?
View attachment 2330032zili
Mchakato ukifanyika Hadi kufikia hapo na wawakilishi wetu ambao Ni wabunge walipitia wakatoa ushauri panapohitajika pakarekebishwa na kuja na hizo tozo ambazo Ni kwa ajili ya kuijenga nchi yetu wenyewe, hazijajaa kwa lengo la kumkomoa mwananchi Bali kumpa nafasi ya kushiliki katika ujenzi wa nchi take ambapo Ni fahari kuona miradi ikijengwa kutokanaa na tozo uliyochangiaHizi tozo ni kwa ridhaa ya nani? Huu mkanda wa kufunga ni sisi tu? Unajua walamba asali hawa wanafuja vipi hazina ya nchi kupitia kupeana nyadhifa, fursa, posho, marupurupu, na mengi lukuki tusiyokuwa na ridhaa nayo?
View attachment 2330032
Mchakato ukifanyika Hadi kufikia hapo na wawakilishi wetu ambao Ni wabunge walipitia wakatoa ushauri panapohitajika pakarekebishwa na kuja na hizo tozo ambazo Ni kwa ajili ya kuijenga nchi yetu wenyewe, hazijajaa kwa lengo la kumkomoa mwananchi Bali kumpa nafasi ya kushiliki katika ujenzi wa nchi take ambapo Ni fahari kuona miradi ikijengwa kutokanaa na tozo uliyochangia