Nimelazimika kuandika hivi kutokana na kauli za hawa vijana wauza sura wakisema thamani ya Fei Toto ni Bilioni 1.
Hivi inawezekanaje mchezaji wa Bilioni analipwa milioni 4 kwa mwezi yaani 48M kwa mwaka halafu mchezaji huyo unambania asiondoke kupata maslahi kisa unataka B?
Ni sawa na wazee wenye roho mbaya wanaopandisha kwa maksudi pesa ya mahari ili kukomoa waoaji.Hizi ni tabia zisozo za kistaarabu.
Inabidi watalamu wanaosimamia mchezo huu watengeneze kanuni ya kuweka ukomo wa bei ya mchezaji na isemwe wazi kwenye mkataba sio haya tunayoyaona sasa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hivi inawezekanaje mchezaji wa Bilioni analipwa milioni 4 kwa mwezi yaani 48M kwa mwaka halafu mchezaji huyo unambania asiondoke kupata maslahi kisa unataka B?
Ni sawa na wazee wenye roho mbaya wanaopandisha kwa maksudi pesa ya mahari ili kukomoa waoaji.Hizi ni tabia zisozo za kistaarabu.
Inabidi watalamu wanaosimamia mchezo huu watengeneze kanuni ya kuweka ukomo wa bei ya mchezaji na isemwe wazi kwenye mkataba sio haya tunayoyaona sasa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app